nakwambia ni shida mbonaWala usilie mama tupo wengi tyuu....
Fanya self monitoring and evaluation, review past men uliowahi kudate nao!!
Consider your attitudes and personalities!!!
Angalia aina na sample ulizowahi date nazo!!
Andaa report ndogo yako binafsi kama kautafiti then tulia taratiibu uweke vigezo kiasi vya MTU unaehisi mtaendana!!!
Yeyte utakaebahatika kumpata saiv mtreat positively!!!
Sio kama mara zote wewe ndo unakuwa na tatizo. Most of the time, good girls end up with bad boys, and good boys chase after bad girls. Usiogope, ipo siku yatakwisha tu
Fanya self monitoring and evaluation, review past men uliowahi kudate nao!!
Consider your attitudes and personalities!!!
Angalia aina na sample ulizowahi date nazo!!
Andaa report ndogo yako binafsi kama kautafiti then tulia taratiibu uweke vigezo kiasi vya MTU unaehisi mtaendana!!!
Yeyte utakaebahatika kumpata saiv mtreat positively!!!
Wala usilie mama tupo wengi tyuu....
nimejaribu hizo njia zote lakini wapi
Habarini wandugu. Mwenzenu nina tatizo ambalo linanikosesha raha kwa kweli kila ninapokuwa na mahusiano hayadumu kabisa na sielewi tatizo nini. Nikijitazama nipo mrembo, mcheshi na sina makuu. Na nasifiwa kwamba mapenzi nayajua lakini hakuna wa kunijali . Kunithamini wala kunipenda kama navyoona wenzangu, umri unasonga hakuna kinachoeleweka labda mnisaidie mawazo tatizo litakuwa nini wazalendo?
Habarini wandugu. Mwenzenu nina tatizo ambalo linanikosesha raha kwa kweli kila ninapokuwa na mahusiano hayadumu kabisa na sielewi tatizo nini. Nikijitazama nipo mrembo, mcheshi na sina makuu. Na nasifiwa kwamba mapenzi nayajua lakini hakuna wa kunijali . Kunithamini wala kunipenda kama navyoona wenzangu, umri unasonga hakuna kinachoeleweka labda mnisaidie mawazo tatizo litakuwa nini wazalendo? Its serious problem i need help of advice