Nahisi sina bahati

Yani mamy nadhani mapenzi ni zaidi ya urembo na ucheshi kama mimi hta mtu anisifie vipi kuwa mimi ni mzuri huwa sifanyi mjumuisho mana inawezekana hao wanaokusifia mbele ya macho yao ni mzuri lakini wengine wanakuona wa kawaida anyway kuwa kwenye mapenzi thabiti yanahitaji zaidi ya urembo na ucheshi na mwisho wala usijali bado hujakutana na mtu sahihi kwako
 
desrtnylady hiv pm kwako zinaruhusiwa? kama ndio embu ni pm tulijadili swala lako in serius mode!
 
Fanya self monitoring and evaluation, review past men uliowahi kudate nao!!
Consider your attitudes and personalities!!!
Angalia aina na sample ulizowahi date nazo!!
Andaa report ndogo yako binafsi kama kautafiti then tulia taratiibu uweke vigezo kiasi vya MTU unaehisi mtaendana!!!
Yeyte utakaebahatika kumpata saiv mtreat positively!!!
 

nimejaribu hizo njia zote lakini wapi
 
I got an idea of you!!!
Unapenda kudate Kwa kuangalia vitu
May be unaangalia pesa Kwa boy
Au hadhi flani
Unajiona mrembo so unajiona uko level flani ya juu
So if a man knows your love is based on money or pride..atakuchezea tu
 
Una bahati sana tu
Blame not the devil
 

Mkuu naona umeaply desa kama lilivyo
 

Kama unamaanisha pole, manake ulivyoongea kwa huruma loh!!
 

It's too early to give up, take ur time atatokea wako atakayekufaa....wanaotokea wote kwasasa Mungu kaona hawakufai anakuandalia mume wa maisha yako atakayekufaa kwa kila kitu atakayekuwa faraja yako na furaha yako ya kweli
Usikimbilie mume ukaukondesha moyo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…