Nahisi sina bahati

Nahisi sina bahati

Destinylady

Member
Joined
Nov 21, 2014
Posts
52
Reaction score
15
Habarini wandugu.

Mwenzenu nina tatizo ambalo linanikosesha raha kwa kweli kila ninapokuwa na mahusiano hayadumu kabisa na sielewi tatizo nini. Nikijitazama nipo mrembo, mcheshi na sina makuu.

Na nasifiwa kwamba mapenzi nayajua lakini hakuna wa kunijali. Kunithamini wala kunipenda kama navyoona wenzangu, umri unasonga hakuna kinachoeleweka labda mnisaidie mawazo tatizo litakuwa nini wazalendo?

Its serious problem i need help of advice
 
kuna wengine hawajawai ku exprnce true love jitahd usipende sana kuachana kwako itakua kawaida sana!!!!
 
Shosti, kuna mtu atakuwa anasafiria NYOTA yako!!!!:redfaces:
 
Hapa kusema tatizo lako ni kitu fulani na tukupe ushauri SI RAHISI kama unavodhani. Maana ni ishu ya mwenendo,muonekano wako wa nje na ndani hivyo kwa ushauri labda waone watu wa JIRANI na mazingira yako wanaokufahamu na Unaowaamini na si jf
 
Self assessment ! Nikijitazama , mrembo , mcheshi etc ...acha ku draw conclusions that you are perfect na nikushauri acha uzinzi na uasherat you are ruining your life come to Jesus and repent of your sins and a great husband there you will be given and should I warn you that you should not repent coz you desperately need a lover but do it coz you want be a child of God and your life shall completely change and the spirit of rejection will bow down to you .
 
Jipe likizo kwanza alafu usome mchezo ukitokea nje
 
loh unanifuatilia sana ndugu eh??? sio kila yasemwayo hapa ni yakweli....hiki kijiwe cha stori nawewe tunga yako leta

Hahahahahaha kuna wengine kama nawaonaga mf. Masai dada, miss chagga, lara, blackwoman....aseeehhhh mna burudani humu mnafungukaga mpaka ka naweza kuwaelewa japokua hatujuani......
Hongera yako
 
Hahahahahaha kuna wengine kama nawaonaga mf. Masai dada, miss chagga, lara, blackwoman....aseeehhhh mna burudani humu mnafungukaga mpaka ka naweza kuwaelewa japokua hatujuani......
Hongera yako

Asante...nawewe ruksa kufunguka utakavyo ilimradi usivunje sheria za jf na za nchi pia!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom