Nahisi sikufanya maamuzi sahihi, ukiwa na umri mkubwa familia ndio faraja pekee

Kwangu familia ni kila kitu, ndio maana kila mara natengeneza mazingira ya amani, furaha na upendo coz family is the most important thing in my life.
Napend kuona mawazo kama haya, mtu unajisemea wewe kwamba familia ni jambo mihimu sana kwenye maisha yako wewe, sasa kuna watu wajinga humu wanataka kulazimisha mtazamo wao uwe ni mtazamo wa watu wote. Unakuta mtu anasema familia ni kitu muhimu kwa kila mtu, huo ujinga sijui wanautoa wapi, kitu muhim kwako sio lazima kiwe muhim kwa kila mtu.
 
Wengi wanaokunywa pombe ni kama wanafanya ama kwa kuiga au ulimbukeni au matatizo ya kiroho...

Truth be said, ain't nothing good about alcohol...

Mimi sijawahi pata muda wa kupiga misele ya pombe na wana - yani urafiki wa kis3ng3 sitaki kbs. Nashukuru hadi kesho sijawahi jua ladha ya pombe, hayo ni mavitu yanafanya watu wawe wapvvzi sana...
 
Kwa yesu umeenda mbali sana, kuna watu wengi tu hawajawahi kuona na wala hawana huo unaoitwa upweke, upweke unatengenezwa kwenye akili sasa mtu anataka kulazimisha mtazamo wake uwe ndio mtazamo wa lazima kwa kila mtu.

Kuoa au kuolewa ni maamuzi ya mtu binafsi. Mtu akiweka akili yake kua bila mke/mume hajisikii kukamilika basi hilo lazima litamsumbua sana.
Kama uneamua hivyo basi ni vyema, hakuna alokulazimisha maybe wewe ndio unalazimisha sasa. Kama it suits you mbona unatumia nguvu nyingi hivyo sasa!! Its like you don believe in wht yo saying.
 
Kwanza dhambi ni nini? Hata kama dhambi itakua kama unavyoijua wewe bado hilo jambo ni subjective, kila mtu ana mtazamo wake, wewe unachokiona dhambi mimi sikioni hivyo.

Pili kama unasema yesu hakutenda dhambi, je mtume paul ambae alikua muuaji na mtesaji alioa, alikua na mke? Timotheo alioa? Na kuna baadhi ya mitume ambao hawakuoa kabisa unasemaje kuhusu hilo?

Watu kibao ambao hawana wake, kina Puti, waziri mkuu wa Dutch, rais wa korea kusin alieondolewa hawajahi kuolewa wala kua na mtoto, rais wa bolivia, hugo chaves, rais wa botswana ambae hajawahi kuoa, rais wa ufilipino, rais wa zamani wa ufaransa bwana hollande nk nk. Ukija wasanii na watu wakubwa duniani ni wengi hana mke/mume na umri wao ni mkubwa, walishakwambia wana upweke wa kutokua kwenye ndoa?

Usipende kukariri maisha, unaloliona kwako kua sawa sio lazima wengine walione hivyo. Kama wewe unaona familia au bila mke/mume hujakamilika na utakua na upweke sio lazima kila mtu aone hivyo. Kuna watu kibao tu duniani ambao hawajawahi kua na familia na maisha yao yanaenda vizuri tu.
Hivi kuna alokulazimsha kwani??? Mbona kama unatumia nguvu sana!! Wewe kwako kuwa na familia/kuolewa sio muhimu basi kaa hivyo hivyo. Its yo life, hakuna atakae kuuliza wala kukushikia bunduki.

Wapo ambao hawajaoa/kuolewa na hawana furaha full stress, na wapo walooa/kuolewa full stress pia. Just because kuna mahali walikosea. Kila anaeamua maamuzi hayo lazima ana sababu, na mara nyingi sababu hizo ukizifuatilia(ukiacha mapadre na masister) huwa sio positive.
 
Napend kuona mawazo kama haya, mtu unajisemea wewe kwamba familia ni jambo mihimu sana kwenye maisha yako wewe, sasa kuna watu wajinga humu wanataka kulazimisha mtazamo wao uwe ni mtazamo wa watu wote. Unakuta mtu anasema familia ni kitu muhimu kwa kila mtu, huo ujinga sijui wanautoa wapi, kitu muhim kwako sio lazima kiwe muhim kwa kila mtu.
Tone unayotumia explains alot. Adios.
 
Kama uneamua hivyo basi ni vyema, hakuna alokulazimisha maybe wewe ndio unalazimisha sasa. Kama it suits you mbona unatumia nguvu nyingi hivyo sasa!! Its like you don believe in wht yo saying.
Ofcoz inahitajika nguvu nyingi kuwatoa watu kwenye ujinga maana ukiwaacha wakasambaza ujinga wao ni gharama kubwa sana itahitajika kurekebisha matatizo waliyoyasababisha.

Wewe nguvu nyingi ulizokua unatumia kulazimisha watu humu kwa hoja zako mfu za kuona kwamba kuoa/kuolewa ni jambo la lazima kwa kila mtu hukuziona?

Na ulivyo mjinga zaidi eti unaniambia tone nayotumia inaexplain alot, pole.
 
Ofcoz inahitajika nguvu nyingi kuwatoa watu kwenye ujinga maana ukiwaacha wakasambaza ujinga wao ni gharama kubwa sana itahitajika kurekebisha matatizo waliyoyasababisha.

Wewe nguvu nyingi ulizokua unatumia kulazimisha watu humu kwa hoja zako mfu za kuona kwamba kuoa/kuolewa ni jambo la lazima kwa kila mtu hukuziona?

Na ulivyo mjinga zaidi eti unaniambia tone nayotumia inaexplain alot, pole.
Duuuuh!! Pole sana.
 
Baraka kubwa niliyobarikiwa hapa duniani ni familia, familia kwangu ndio kila kitu. Najua tunaweza kutofautiana sana kama matawi ya mti lkn shina litabaki kuwa 1 tu hata iweje. Anything, I'll die for my family. Nilipishana sana na mshua wangu ktk upbringing, nahisi hata imeniathiri kisaikolojia, yani mimi na mshua haziivi kabisa, lkn najitahidi kumpenda kadri niwezavyo.

Nakumbuka nilifilisi nusu ya biashara yangu ili kulipa deni alilokopa mshua na kuweka bond nyumba. It's one of the toughest challenge I've faced in life. Mimi sijawahi pata muda wa kupiga misele ya pombe na wana - yani urafiki wa kis3ng3 sitaki kbs. Nashukuru hadi kesho sijawahi jua ladha ya pombe, hayo ni mavitu yanafanya watu wawe wapvvzi sana.

Sijajua mke wng atakuaje... but naomba Mungu anipe hekima za kuwa baba bora na mume bora pia.
Na sikuu ukijichanganyaa ukachenjua makinikia ya ngano umeishaa mzee babaa
 
Baraka kubwa niliyobarikiwa hapa duniani ni familia, familia kwangu ndio kila kitu. Najua tunaweza kutofautiana sana kama matawi ya mti lkn shina litabaki kuwa 1 tu hata iweje. Anything, I'll die for my family. Nilipishana sana na mshua wangu ktk upbringing, nahisi hata imeniathiri kisaikolojia, yani mimi na mshua haziivi kabisa, lkn najitahidi kumpenda kadri niwezavyo.

Nakumbuka nilifilisi nusu ya biashara yangu ili kulipa deni alilokopa mshua na kuweka bond nyumba. It's one of the toughest challenge I've faced in life. Mimi sijawahi pata muda wa kupiga misele ya pombe na wana - yani urafiki wa kis3ng3 sitaki kbs. Nashukuru hadi kesho sijawahi jua ladha ya pombe, hayo ni mavitu yanafanya watu wawe wapvvzi sana.

Sijajua mke wng atakuaje... but naomba Mungu anipe hekima za kuwa baba bora na mume bora pia.
Mungu atakupa itaji la moyo wako
 
Wakuu kutokana na yaliyonipata niliamua kuishi Mwenyewe licha ya kua na Watoto wawili ambao mama alitangulia mbele ya hako angali wachanga sana

Nilipita kwenye mahusiano ya hapa na pale ila sikutaka kabisa kuji commit kwa mtu, Mungu alinisaidia nikawa nimeacha kutumia pombe, ila kutokana na mawazo na upweke nilianza tena kutumia nikiwa kikazi kwa muda Nairobi.

Watu wa rika langu karibia wote walikua na familia zao, Watoto kwa wajukuu, hivyo kila Mara tukiwa wote wao huwahi nyumbani kutekeleza majukumu yao, wanangu wanaishi kwa mama yangu mzazi hivyo kupelekea mimi kuishi mwenyewe licha ya kuonana nao kila mwezi

Hii ilipelekea kupata marafiki ambao ninaendana nao(ma bachelor) ambayo muda mwingine baada ya kazi tulijaribu kufanya starehe hapa na pale ili maisha yasonge

Nakumbuka kuna siku nililewa sana nikafungua Uzi hapa ambapo asubuhi ulinifedhehesha sana...

Ushauri kwa vijana, maisha ya ndoa ni magumu ila umri ukishaenda familia ndio faraja pekee ambayo unaweza kupata, play your cards right, itafika mahali pesa hazitakua na umuhimu kama wengi tulivyodhani.. Usiku mwema wana jamii forum

Nimeweka link kama kuna mtu atataka kupata insight ya nilichopitia

https://www.google.com/url?sa=t&source=web&rct=j&url=/amp/s/www.jamiiforums.com/threads/alinisaliti-nilichomfanyia-hatokaa-anisahau-daima.1170364/%3Famp%3D1482327451&ved=0ahUKEwiZ06PCrsDUAhVSFMAKHWylB18QFggfMAE&usg=AFQjCNENc4gOsGn58_zwwXn1Os1h0pJtIw



Mkuu uko sahihi sana, mwanzo inakuwa sawa ila baada ya miaka mingi kuna mambo mengi inatamani ila muda inakuwa hauruhusu.

Vijana anzisheni familia mapema ili Mpate kulea watoto mkiwa na nguvu zenu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom