Nahisi nina chembechembe za ugonjwa wa akili toka nazaliwa

Nahisi nina chembechembe za ugonjwa wa akili toka nazaliwa

Natumaini upo vizuri Mimi kijana wa miaka 29 sasa Nina mke na watoto watatu,,katika kipindi Cha nyuma mwaka 2019 nilipatwa na matatizo ya afya ya akili sababu ilikuwa kutokana na msongo wa mawazo na nahisi kulikuwa na chembe za tatizo la akili toka nazaliwa ila sikujua mpaka nilivyotumia bangi na kutriger tatizo la akili moja Kwa moja Kwa kujitokeza,,

I'm a advance school graduate,,but my professional ni truck driver na ni mtanzania nilitamani sana kufanya kazi nje ya tanzania I mean kwenye nchi zinazolipa vizuri lakini hofu inakuja kutokana na Hali yangu ya afya ya akili niliopata kozi Toka nimepata janga hilo 2019 sijawahi acha dawa na natumia dawa mpaka hivi leo so sijui policy za mental issues zipo vipi duniani ila Kwa upande wa Tanzania watu wenye tatizo la afya ya akili wanadharauliwa sana....

Mimi ni kijana mpambanaji na nategemewa na familia na ndugu na jamaa nimejaribu kutafuta kazi za ndani kwenye kampuni kubwa na serikalini ila bado ni changamoto Kwangu nilitaka nikafanye kazi nchi zilizoendelea na zenye payment nzuri so naogopa kulingana na afya yangu kiakili...naweza toboa kutokana na mazingira hasa upatikani wa dawa Kwa nchi tofauti sijui upoje naingia na wasiwasi

Nyie ambao mnaishi Bongo unawezaje kuishi? Ila wengi mna below 4.5 GPA ndiyo maana mnaishi hapo Bongo​

 
Natumaini upo vizuri Mimi kijana wa miaka 29 sasa Nina mke na watoto watatu,,katika kipindi Cha nyuma mwaka 2019 nilipatwa na matatizo ya afya ya akili sababu ilikuwa kutokana na msongo wa mawazo na nahisi kulikuwa na chembe za tatizo la akili toka nazaliwa ila sikujua mpaka nilivyotumia bangi na kutriger tatizo la akili moja Kwa moja Kwa kujitokeza,,

I'm a advance school graduate,,but my professional ni truck driver na ni mtanzania nilitamani sana kufanya kazi nje ya tanzania I mean kwenye nchi zinazolipa vizuri lakini hofu inakuja kutokana na Hali yangu ya afya ya akili niliopata kozi Toka nimepata janga hilo 2019 sijawahi acha dawa na natumia dawa mpaka hivi leo so sijui policy za mental issues zipo vipi duniani ila Kwa upande wa Tanzania watu wenye tatizo la afya ya akili wanadharauliwa sana....

Mimi ni kijana mpambanaji na nategemewa na familia na ndugu na jamaa nimejaribu kutafuta kazi za ndani kwenye kampuni kubwa na serikalini ila bado ni changamoto Kwangu nilitaka nikafanye kazi nchi zilizoendelea na zenye payment nzuri so naogopa kulingana na afya yangu kiakili...naweza toboa kutokana na mazingira hasa upatikani wa dawa Kwa nchi tofauti sijui upoje naingia na wasiwasi

Nimechaguliwa kuwa mfanyakazi bora huku yues ila GPA above ya 4.5 imenibeba​

 
Usiende huko nje, it's a very lonely life. Kama ushwahi kuwa na msongo wa mawazo hapa bongo basi huko nje huo upweke unaweza kukuua kabisa.

Enjoy maisha na familia yako, hao ndio watu wa msingi zaidi. Nothing else matters.
Ushauri bora zaidi. Nafikiri asome hapa kisha atulie alee mke na watoto watatu
 
Ahah haupo serious au haujui tofuati ya afya ya akili na ugonjwa wa akili otherwise weka wazi unashidah gani inayokufanya kujihis mgonjwa wa akili. Inaweza kuwa mtazamo wako tu inawezekana jambo dogo sanaa lakni unaichukulia vibaya. Shughulikia iyo mkuu tafuta mtaalamu kila mtu anachangamoto ya afya akili normal kabs
 
Usiwe na shaka. Kuna mtu nilikutana naye mwaka 2017 alikuwa na tatizo kama lako na alikuwa anapiga kazi vizuri tu. Alijitambikisha mwenyewe na kuelezea Hali yake maana ilikuwa ni moja ya mada kwenye hayo mafunzo.
 
Mi nimependa tu hapo miaka 29 na una mke na watoto watatu. Wengine umri huo hata girlfriend hayupo. 😂😂😂
 
Usijali hizo chembechembe za uchizi ni mtaji mzuri tarehe 29 tutakutanguliza mbele kwenye maandamano
 
Natumaini upo vizuri Mimi kijana wa miaka 29 sasa Nina mke na watoto watatu,,katika kipindi Cha nyuma mwaka 2019 nilipatwa na matatizo ya afya ya akili sababu ilikuwa kutokana na msongo wa mawazo na nahisi kulikuwa na chembe za tatizo la akili toka nazaliwa ila sikujua mpaka nilivyotumia bangi na kutriger tatizo la akili moja Kwa moja Kwa kujitokeza,,

I'm a advance school graduate,,but my professional ni truck driver na ni mtanzania nilitamani sana kufanya kazi nje ya tanzania I mean kwenye nchi zinazolipa vizuri lakini hofu inakuja kutokana na Hali yangu ya afya ya akili niliopata kozi Toka nimepata janga hilo 2019 sijawahi acha dawa na natumia dawa mpaka hivi leo so sijui policy za mental issues zipo vipi duniani ila Kwa upande wa Tanzania watu wenye tatizo la afya ya akili wanadharauliwa sana....

Mimi ni kijana mpambanaji na nategemewa na familia na ndugu na jamaa nimejaribu kutafuta kazi za ndani kwenye kampuni kubwa na serikalini ila bado ni changamoto Kwangu nilitaka nikafanye kazi nchi zilizoendelea na zenye payment nzuri so naogopa kulingana na afya yangu kiakili...naweza toboa kutokana na mazingira hasa upatikani wa dawa Kwa nchi tofauti sijui upoje naingia na wasiwasi
Sio salama maana hilo tatizo lako linaweza sababisha kampuni kuingia hasara ikitokea upo road au basi
 
Back
Top Bottom