Nahisi nimepona ugonjwa wa wasiwasi/uoga uliopitiliza

KimpaGhasha

JF-Expert Member
Jun 21, 2020
327
448
Habari zenu wanaJf bila shaka mnaendelea vyemaaa

Niende kwenye maada husika.
Kuna muda nilishawahi kupost uzi hivi unaohusiana na upotezaji kumbukumbu kwa haraka saana.

Nashukuru kuna wadau walinishauri vyema na naendelea kuufuata ushauri wao japo kuna mabadiliko nayaona kwa kiasi flani hivi japo sio saana.

Ila baada ya kueleza hili tatizo pia nilikuwa na tatizo lingine ambalo nalo limekuwa likinisumbua tangia mwaka 2007.

Nalo ni tatizo la wasiwasi/ uoga uliopitiliza huu ugonjwa ni hatari asikuambie mtu, nimepitia shida nyingi saana juu ya huu ugonjwa mpaka nikafikia hatua nikahisi maisha yangu yatakuwa mafupi saana.

Kiufupi nilikuwa sina raha, sina amani, sina uhuru yaaani moyo mda wote unaenda mbio.
Naogopa kila kitu, kila mtu yaani ni shida tupuuu taabu tupu.

Nakumbuka nimesoma fom1 mpaka chuo sina rafiki, sina mtu wakaribu yaani niko mim mwenyew tu namaisha yangu
Hamna cha discussion wala ujinga gani mi mwenyew tu.

Nimeishi maisha yashida saana
Nakumbuka kisa kimoja hivi wakati niko chuo ile presentation
Imefika zamu yangu nataka kupresent mamaaaaaa! Nilitamani kufa, moyo unaenda mbio tumbo linauma viganja vimeloa jasho ninachoongea hakieleweki

Darasa linarindima kelele za vicheko nikasema Mungu nimekosa nini mja wako jamani nadharirka namna hii aaah niliumia sana nilitamani niache chuo haki yanani dah

Mungu alinipa moyo wa subra nikamaliza chuo ila dah nihatari saana

Mbali nahivi visa vyote sa nikaamua nilifikishe kwa wanaJf ila niliwaPM tu wale wenye busara zao nashukuru wakawa wamenishauri namna ya kuondokana na hili tatizo.

Nikafuata ushauri wao
Nikaanza kufanya kama nilivyoambiwa
Nilianza kwenda hospitali mwezi wa nane mwaka huu nikaanza matibabu yaani mpaka leo napost uzi huu nafikiri niko sawa.

Yaani zaidi ya 80% niko vizuri yaani ule woga sinao tena nachangamana na watu nafanya chochote ninachojiskia mbele ya watu.

Napiga storiii hadi raha.
Nashukuru sana wanaJF yaani sikufikiria kama ingefikia muda nikawa hivi.

Nina mengi ya kuzungumza sema tu basi yaani ila shukrani za kipekee ziwaendee wanaJF hawa.
moesy
Zogwale
jacana

Mungu awalipe zaidi nawashukuru saaana
 
Hiyo anxiety nilishapitia mpaka nikawa najifungia ndani nikitaka kufanya kazi inayojumuisha watu wengi nakua na hofu mpaka nitumie vileo!

Ilikujaga ikaisha yenyewe miaka tano nyuma
Kusimama mbele za watu nilikua natetemeka ila nikiongea naona watu wanasema naongea point tu Basi nikapuuzia ile Hali ya wasiwasi na hofu inaisha automatically
 
Habari zenu wanaJf bila shaka mnaendelea vyemaaa

Niende kwenye maada husika.
Kuna muda nilishawahi kupost uzi hivi unaohusiana na upotezaji kumbukumbu kwa haraka saana.

Nashukuru kuna wadau walinishauri vyema na naendelea kuufuata ushauri wao japo kuna mabadiliko nayaona kwa kiasi flani hivi japo sio saana.

Ila baada ya kueleza hili tatizo pia nilikuwa na tatizo lingine ambalo nalo limekuwa likinisumbua tangia mwaka 2007.

Nalo ni tatizo la wasiwasi/ uoga uliopitiliza huu ugonjwa ni hatari asikuambie mtu, nimepitia shida nyingi saana juu ya huu ugonjwa mpaka nikafikia hatua nikahisi maisha yangu yatakuwa mafupi saana.

Kiufupi nilikuwa sina raha, sina amani, sina uhuru yaaani moyo mda wote unaenda mbio.
Naogopa kila kitu, kila mtu yaani ni shida tupuuu taabu tupu.

Nakumbuka nimesoma fom1 mpaka chuo sina rafiki, sina mtu wakaribu yaani niko mim mwenyew tu namaisha yangu
Hamna cha discussion wala ujinga gani mi mwenyew tu.

Nimeishi maisha yashida saana
Nakumbuka kisa kimoja hivi wakati niko chuo ile presentation
Imefika zamu yangu nataka kupresent mamaaaaaa! Nilitamani kufa, moyo unaenda mbio tumbo linauma viganja vimeloa jasho ninachoongea hakieleweki

Darasa linarindima kelele za vicheko nikasema Mungu nimekosa nini mja wako jamani nadharirka namna hii aaah niliumia sana nilitamani niache chuo haki yanani dah

Mungu alinipa moyo wa subra nikamaliza chuo ila dah nihatari saana

Mbali nahivi visa vyote sa nikaamua nilifikishe kwa wanaJf ila niliwaPM tu wale wenye busara zao nashukuru wakawa wamenishauri namna ya kuondokana na hili tatizo.

Nikafuata ushauri wao
Nikaanza kufanya kama nilivyoambiwa
Nilianza kwenda hospitali mwezi wa nane mwaka huu nikaanza matibabu yaani mpaka leo napost uzi huu nafikiri niko sawa.

Yaani zaidi ya 80% niko vizuri yaani ule woga sinao tena nachangamana na watu nafanya chochote ninachojiskia mbele ya watu.

Napiga storiii hadi raha.
Nashukuru sana wanaJF yaani sikufikiria kama ingefikia muda nikawa hivi.

Nina mengi ya kuzungumza sema tu basi yaani ila shukrani za kipekee ziwaendee wanaJF hawa.
moesy
Zogwale
jacana

Mungu awalipe zaidi nawashukuru saaana
Tuambie sasa matibabu yake yako vp. Maana umesema ulienda hospital

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu wanaJf bila shaka mnaendelea vyemaaa

Niende kwenye maada husika.
Kuna muda nilishawahi kupost uzi hivi unaohusiana na upotezaji kumbukumbu kwa haraka saana.

Nashukuru kuna wadau walinishauri vyema na naendelea kuufuata ushauri wao japo kuna mabadiliko nayaona kwa kiasi flani hivi japo sio saana.

Ila baada ya kueleza hili tatizo pia nilikuwa na tatizo lingine ambalo nalo limekuwa likinisumbua tangia mwaka 2007.

Nalo ni tatizo la wasiwasi/ uoga uliopitiliza huu ugonjwa ni hatari asikuambie mtu, nimepitia shida nyingi saana juu ya huu ugonjwa mpaka nikafikia hatua nikahisi maisha yangu yatakuwa mafupi saana.

Kiufupi nilikuwa sina raha, sina amani, sina uhuru yaaani moyo mda wote unaenda mbio.
Naogopa kila kitu, kila mtu yaani ni shida tupuuu taabu tupu.

Nakumbuka nimesoma fom1 mpaka chuo sina rafiki, sina mtu wakaribu yaani niko mim mwenyew tu namaisha yangu
Hamna cha discussion wala ujinga gani mi mwenyew tu.

Nimeishi maisha yashida saana
Nakumbuka kisa kimoja hivi wakati niko chuo ile presentation
Imefika zamu yangu nataka kupresent mamaaaaaa! Nilitamani kufa, moyo unaenda mbio tumbo linauma viganja vimeloa jasho ninachoongea hakieleweki

Darasa linarindima kelele za vicheko nikasema Mungu nimekosa nini mja wako jamani nadharirka namna hii aaah niliumia sana nilitamani niache chuo haki yanani dah

Mungu alinipa moyo wa subra nikamaliza chuo ila dah nihatari saana

Mbali nahivi visa vyote sa nikaamua nilifikishe kwa wanaJf ila niliwaPM tu wale wenye busara zao nashukuru wakawa wamenishauri namna ya kuondokana na hili tatizo.

Nikafuata ushauri wao
Nikaanza kufanya kama nilivyoambiwa
Nilianza kwenda hospitali mwezi wa nane mwaka huu nikaanza matibabu yaani mpaka leo napost uzi huu nafikiri niko sawa.

Yaani zaidi ya 80% niko vizuri yaani ule woga sinao tena nachangamana na watu nafanya chochote ninachojiskia mbele ya watu.

Napiga storiii hadi raha.
Nashukuru sana wanaJF yaani sikufikiria kama ingefikia muda nikawa hivi.

Nina mengi ya kuzungumza sema tu basi yaani ila shukrani za kipekee ziwaendee wanaJF hawa.
moesy
Zogwale
jacana

Mungu awalipe zaidi nawashukuru saaana
Ulienda hospitali ukapewa matibabu gani?
 
Ulienda hospitali ukapewa matibabu gani?
Nilielezea tatizo langu kwa daktari then akaniandikia dawa kama aina 3 hivi sema majina ndo shida kuyakumbuka nilitumia ndani ya mwezi.

Then nikarudi tena akaniandikia zingine nimemaliza tareh 27 September,2020

Ila nimeambiwa nirudi tena
Kiukweli niko vizur saivi utofauti nimkubwa saana.

Niko vizur kiufupi


Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Nilielezea tatizo langu kwa daktari then akaniandikia dawa kama aina 3 hivi sema majina ndo shida kuyakumbuka nilitumia ndani ya mwezi.

Then nikarudi tena akaniandikia zingine nimemaliza tareh 27 September,2020

Ila nimeambiwa nirudi tena
Kiukweli niko vizur saivi utofauti nimkubwa saana.

Niko vizur kiufupi


Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Mkuu kama usipojali ututumie majina ya hizo dawa humu utasaidia wengi.
 
Mkuu bado tunasubiri majina ya hizo dawa.
Mi nilienda hospital kwenye kitengo cha wagonjwa wa akili.

Nikaonana na daktari nikamuelekeza kila kitu kuhusu tatizo langu, namda ambao nimedum nalo hili tatizo na visa ambavyo nishawahi kukutana navyo vilivosababisha na hili tatizo

Namna ninavoishi nalo najinsi gani nakosaraha nakata tamaa juu yahili tatizo pamoja na athari zake juu yawatu wanaonizunguka lakin pia jinsi linavyoathiri maisha yangu binafsi ikiwemo na mahusiano yangu

Yaani nilimwambia kila kitu kwahisia kali na alijua kuwa kweli nimeumia na naumia saana juu yahili tatizo.

Akanipa ushauri then akaniandikia dawa aina kama tatu hivi ambazo ni
*carbamazepin
*amitriptyline
*vitamin b complex

Nilitumia kwa mwezi mmoja nikaona hali inabadilika then nikarudi tena akanipa dozi nyingine yamwezi ndo nimemalizia mwezi wa 9.

Saivi natarajia niende tena kwa awamu ya 3 but najiona niko poa saana yani

Tahadhari
Usitumie hizo dawa kabla hujaonana na daktari
 
Back
Top Bottom