talnam
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 1,410
- 2,804
Anza kushukuru kwa ulivyo navyo, alafu omba kwa Mambo Bora zaidi. Baraka zinakuja unaposhukuru. Shukrani haimaaniishi umeridhika Bali una imani na mtoaji.
Fikiria watu wengi ambao wako 30s na hawajabahatika hata kumiliki ghetto lao wenyewe, fikiria hata ungeipata hivyo vitu unavyohitaj Kama sio uzima na afya nzuri vingekupa furaha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Fikiria watu wengi ambao wako 30s na hawajabahatika hata kumiliki ghetto lao wenyewe, fikiria hata ungeipata hivyo vitu unavyohitaj Kama sio uzima na afya nzuri vingekupa furaha?
Sent using Jamii Forums mobile app