nahisi naibiwa

nahisi naibiwa

Mr Eggo

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2012
Posts
2,028
Reaction score
1,051
nimekua na mahusiano na mpenz wangu kwa muda sasa (takribani miez 5 sasa),,mwanzon tumekua tukiwasiliana kwa karibu sana na kunifanya nijiskie amani na kusahau kuhus wasichana wengne,,,,kifup amenifanya niwe mwaminifu sana,,
cha ajabu ni ck za apa karbun ambapo gafla amepunguza mawasiliano kwa madai shule imebana,,,namtumia txt anachelewa kujib,,,sitak kuamin kua mpenz wangu huyu anani-cheat ila naamin kwel mambo yamebana,,
nilichopanga kukifanya ni kwenda kumsalimia kwa suprise,,kwamba simwambii kua naenda mkoa aliko ila atashtukia kuniona thn ntapata nafas ya kuikagua cm yake for good il nijue moja maana ata raha nae tena sina mekua mpweke mnoo,,
wana mmu plz naombeni mnishauri,,,niko sawa kwa uamuzi wangu huo!!
 
hofu yako ndio kifo chako bwana mdogo!

inaonekana hata ukimkuta amesimama na kidume yeyote, utaamini moja kwa moja kuwa ndio mchawi wako!

chunguza pole pole, kuwa CID si mchezo!
 
i cant imagine hayo maumivu utakayo yapata ukithibitisha kwamba anakucheat........ila endelea na plan ni bora kujua ukweli mapema kuliko kupoteza muda.
 
i cant imagine hayo maumivu utakayo yapata ukithibitisha kwamba anakucheat........ila endelea na plan ni bora kujua ukweli mapema kuliko kupoteza muda.
ni kweli mkuu ndo mana nimeona niingie garama za kwenda il nijue ukweli wa either kuendelea nae au mambo yaishie apo,,,inaumiza sana
 
well yet again human stupidity knows no boundaries...DEMU WAKO UKIWA NAE KITANDANI UNAMGEGEDA AKISHASEPA NI WAKILA MTU KAKA
 
nimekua na mahusiano na mpenz wangu kwa muda sasa (takribani miez 5 sasa),,mwanzon tumekua tukiwasiliana kwa karibu sana na kunifanya nijiskie amani na kusahau kuhus wasichana wengne,,,,kifup amenifanya niwe mwaminifu sana,,
cha ajabu ni ck za apa karbun ambapo gafla amepunguza mawasiliano kwa madai shule imebana,,,namtumia txt anachelewa kujib,,,sitak kuamin kua mpenz wangu huyu anani-cheat ila naamin kwel mambo yamebana,,
nilichopanga kukifanya ni kwenda kumsalimia kwa suprise,,kwamba simwambii kua naenda mkoa aliko ila atashtukia kuniona thn ntapata nafas ya kuikagua cm yake for good il nijue moja maana ata raha nae tena sina mekua mpweke mnoo,,
wana mmu plz naombeni mnishauri,,,niko sawa kwa uamuzi wangu huo!!


kila la kheri kaka.kumbuka tu maumivu ya moyo hayaponi kwa ganzi
 
Ukitaja mkoa unahisi Excel atafanyeje?
nimehitaji ushauri kulingana na situation iyo,,binafsi mikoa haina maana zaid ikijulikana tunaish mikoa tofaut maana yake n kua hatuko pa1 mda mwng!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu be strong!
Muulize auseme kwa kinywa chake mwenyewe,kama yuko tayari kuendelea na uhusiano muendelee (hapa muwekee kabisa ultimatuma akizkiuka muache).
Kwenye mahusiano people need sometime alone sometime.
Usipuuzie wasiwasi wako.
Mi siamini hii habari ya kuchunguzana kwa simu,it is way too low and feminine!
 
Unataka kutafuta pressure bure
wewe sumwambie tu kuwa mbona umebadilika sana tofauti na zamani kisa masomo inamaana zamani masomo hayakuwepo
uende huko ukute anajemba uje upigwe bure tu uje na manundu wewe kama kaanza kubadilika mwambie na kama hataki piga chini au unasomesha maana siku hizi kijana akitaka kuwa na sifa mpaka asomeshe mpenzi wake baadae wanapigwa chini wanatamani kujiua kama husomeshi mwambie akikataa piga chini kwani yupo yeye tu kuna wengine wazuri tu ya nini kujibebesha mawazo
 
Ukitaja mkoa unahisi Excel atafanyeje?

mkuu Karucee, unajua kuna mikoa kabisa ukiachia dem wako kuwepo, kama si mwenye msimamo, basi kubali tu matokeo!

kuna majiji yenye starehe nyingi sana kama dar, mwanza, tanga ama mbeya.. huku vishawishi ni vingi sana kwa mtoto wa kike!

kwa hiyo ni kuwa alerted kwa lolote!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu be strong! Muulize auseme kwa kinywa chake mwenyewe,kama yuko tayari kuendelea na uhusiano muendelee (hapa muwekee kabisa ultimatuma akizkiuka muache). Kwenye mahusiano people need sometime alone sometime. Usipuuzie wasiwasi wako. Mi siamini hii habari ya kuchunguzana kwa simu,it is way too low and feminine!
binafsi hua siamin katika kukaguana cm,,,cjawah kufanya icho kitendo kwa ma x zangu ote ila kwa uyu nahitaji kuondoa doubt coz nimeplan kumuoa na tayar naingia garama nying kwa ajil yake,,
 
Unataka kutafuta pressure bure
wewe sumwambie tu kuwa mbona umebadilika sana tofauti na zamani kisa masomo inamaana zamani masomo hayakuwepo
uende huko ukute anajemba uje upigwe bure tu uje na manundu wewe kama kaanza kubadilika mwambie na kama hataki piga chini au unasomesha maana siku hizi kijana akitaka kuwa na sifa mpaka asomeshe mpenzi wake baadae wanapigwa chini wanatamani kujiua kama husomeshi mwambie akikataa piga chini kwani yupo yeye tu kuna wengine wazuri tu ya nini kujibebesha mawazo

mkuu.. hebu jaribu kufuata sheria za uandishi bora. una vitu fulani vizuri, lakini jinsi unavyoandika, hueleweki!

hakuna vituo vidogo wala vikubwa, angalau na paragraphs nazo muhimu mkuu ili ueleweke vizuri!
 
nimekua na mahusiano na mpenz wangu kwa muda sasa (takribani miez 5 sasa),,mwanzon tumekua tukiwasiliana kwa karibu sana na kunifanya nijiskie amani na kusahau kuhus wasichana wengne,,,,kifup amenifanya niwe mwaminifu sana,,
cha ajabu ni ck za apa karbun ambapo gafla amepunguza mawasiliano kwa madai shule imebana,,,namtumia txt anachelewa kujib,,,sitak kuamin kua mpenz wangu huyu anani-cheat ila naamin kwel mambo yamebana,,
nilichopanga kukifanya ni kwenda kumsalimia kwa suprise,,kwamba simwambii kua naenda mkoa aliko ila atashtukia kuniona thn ntapata nafas ya kuikagua cm yake for good il nijue moja maana ata raha nae tena sina mekua mpweke mnoo,,
wana mmu plz naombeni mnishauri,,,niko sawa kwa uamuzi wangu huo!!

plz hatujasahau habari za kina mushi!
 
Back
Top Bottom