Hbr wakuu?
Siku moja nilichukua simu ya mpenzi wangu nikakuta mesegi alizokua anachat na jamaa, alikua akimwita mpenzi na majina mengne yalonipa mashaka.
Niliongea na mpenzi wangu akakataa na kusema jamaa ni rafiki ake tu eti wamezoea kuchat vile, pia marafik zake walimtetea sana.
Sikuridhishwa na majibu yale ikabidi nimwambie amwite jamaa, alivyokuja akaeleza kuwa ni marafiki tu na akaomba msamaha kuwa hatorudia, nilimwambia amkome mpnz wng.
Kinachoniumiza zaid hivi karbuni ameanza kumtag mpenzi wangu kila picha anayoeka fb, nimeumia zaidi alipoeka picha ya maandishi iliyoandikwa LINI UTAKUWA WANGU na kumtag mpenzi wangu na dada mwingne.
Napoongea na mpenzi wangu anaomba sana msamaha na kusema atamzuia jamaa hiyo tabia.
Mi sielewi la kufanya ndugu zangu na huyu nampenda sana, naombeni ushauri.
Ahsanteni.
Hbr wakuu?
Siku moja nilichukua simu ya hmpenzi wangu nikakuta mesegi alizokua anachat na jamaa, alikua akimwita mpenzi na majina mengne yalonipa mashaka.
Niliongea na mpenzi wangu akakataa na kusema jamaa ni rafiki ake tu eti wamezoea kuchat vile, pia marafik zake walimtetea sana.
Sikuridhishwa na majibu yale ikabidi nimwambie amwite jamaa, alivyokuja akaeleza kuwa ni marafiki tu na akaomba msamaha kuwa hatorudia, nilimwambia amkome mpnz wng.
Kinachoniumiza zaid hivi karbuni ameanza kumtag mpenzi wangu kila picha anayoeka fb, nimeumia zaidi alipoeka picha ya maandishi iliyoandikwa LINI UTAKUWA WANGU na kumtag mpenzi wangu na dada mwingne.
Napoongea na mpenzi wangu anaomba sana msamaha na kusema atamzuia jamaa hiyo tabia.
Mi sielewi la kufanya ndugu zangu na huyu nampenda sana, naombeni ushauri.
Ahsanteni.
HICHO KICHENCHEDE umeshindwa kukidhibiti kutokana either una asili ya upole au uyo mwanamke ni mjanja kuliko wewe..
biti la mwanaume ni biti tosha...ukimwambia acha ana acha ,akijaribu bas ni kwa siri sana bila yako kufahamu
mimi nikichimba biti ndani ya nyumba adi mama watoto anajua nataka kuua mtu...dadadekii, make sense of what you say..
au sio mkeo uyo ni kachumba tuu
Afuu usipende kushika shika sim ya mpenzio ni preshaaa!nobody z perfect!haswaa zama hizi mkakaaa!
Hbr wakuu?
Siku moja nilichukua simu ya mpenzi wangu nikakuta mesegi alizokua anachat na jamaa, alikua akimwita mpenzi na majina mengne yalonipa mashaka.
Niliongea na mpenzi wangu akakataa na kusema jamaa ni rafiki ake tu eti wamezoea kuchat vile, pia marafik zake walimtetea sana.
Sikuridhishwa na majibu yale ikabidi nimwambie amwite jamaa, alivyokuja akaeleza kuwa ni marafiki tu na akaomba msamaha kuwa hatorudia, nilimwambia amkome mpnz wng.
Kinachoniumiza zaid hivi karbuni ameanza kumtag mpenzi wangu kila picha anayoeka fb, nimeumia zaidi alipoeka picha ya maandishi iliyoandikwa LINI UTAKUWA WANGU na kumtag mpenzi wangu na dada mwingne.
Napoongea na mpenzi wangu anaomba sana msamaha na kusema atamzuia jamaa hiyo tabia.
Mi sielewi la kufanya ndugu zangu na huyu nampenda sana, naombeni ushauri.
Ahsanteni.
Nenda sokoni ununue kamba iliyosokotwa vzr, tafuta mti mkubwa na mnene, funga kamba vzr ujinyonge! Utaondokana na bughuza zote hizo! Tena wahi kabla soko halijafungwa.
Ukiona manzi ako anafatiliwa na wengi jisifie either ni mrembo au ni mkarimu,hongera umefanya uchaguzi sahihi.
Ina maana wakati mnaanza uhusiano, ulikuwa huamini kama mwaminifu?Mimi hua nashindwa kuwaelewa mnaposema kwamba usikague cm ya mkeo!hilo nitalipinga hadi mwisho bora nikague nijue kama sio mwaminifu liwalo na liwe
nakuelewa sn wangu..pole sn, jaribu kuongea naye tho huyo boy nipe no yake nimkanyeHbr wakuu?
Siku moja nilichukua simu ya mpenzi wangu nikakuta mesegi alizokua anachat na jamaa, alikua akimwita mpenzi na majina mengne yalonipa mashaka.
Niliongea na mpenzi wangu akakataa na kusema jamaa ni rafiki ake tu eti wamezoea kuchat vile, pia marafik zake walimtetea sana.
Sikuridhishwa na majibu yale ikabidi nimwambie amwite jamaa, alivyokuja akaeleza kuwa ni marafiki tu na akaomba msamaha kuwa hatorudia, nilimwambia amkome mpnz wng.
Kinachoniumiza zaid hivi karbuni ameanza kumtag mpenzi wangu kila picha anayoeka fb, nimeumia zaidi alipoeka picha ya maandishi iliyoandikwa LINI UTAKUWA WANGU na kumtag mpenzi wangu na dada mwingne.
Napoongea na mpenzi wangu anaomba sana msamaha na kusema atamzuia jamaa hiyo tabia.
Mi sielewi la kufanya ndugu zangu na huyu nampenda sana, naombeni ushauri.
Ahsanteni.