Nahisi kuwa na nguvu fulani ndani yangu. Kitu chochote kizuri ninachotamani na kuwaza kitokee, kweli hutokea

Kweli kabisa mkuu kuna kitu nyuma ya pazia bado binadamu hatuelewi au tunapotezwa na kikundi cha watu walio tayari fahamu siri nyingi za huu ulimwengu
Hapa kwenye kupotezwa na watu fulani hata mimi huwa nahisi hivyo mkuu.

Nadhani kuna connection kubwa kati ya akili zetu zinachowaza na ulimwengu unaotuzunguka.

Kwamba huwenda akili zetu zina uwezo wa kuvuta mazingira ambayo yapo kichwani yakatokea kweli kwa namna ambavyo sisi hatuijui.

So kama mambo yako hivi maana yake kila mtu akijiwazia mambo mazuri na yanatokea maana yake kuna watu hawatonufaika.

Nakisoma kitabu cha "the power of subconscious mind" nikikimaliza nitaleta hapa namna ambavyo nimekielewa ili tukichambue zaidi.

Nahisi kuna pahala tunachezewa sisi kama binadamu.

Kwa nini hizi kanuni hatufundishwi shuleni why ?
 
Hapa kwenye kupotezwa na watu fulani hata mimi huwa nahisi hivyo mkuu.

Nadhani kuna connection kubwa kati ya akili zetu zinachowaza na ulimwengu unaotuzunguka.

Kwamba huwenda akili zetu zina uwezo wa kuvuta mazingira ambayo yapo kichwani yakatokea kweli kwa namna ambavyo sisi hatuijui.

So kama mambo yako hivi maana yake kila mtu akijiwazia mambo mazuri na yanatokea maana yake kuna watu hawatonufaika.

Nakisoma kitabu cha "the power of subconscious mind" nikikimaliza nitaleta hapa namna ambavyo nimekielewa ili tukichambue zaidi.

Nahisi kuna pahala tunachezewa sisi kama binadamu.

Kwa nini hizi kanuni hatufundishwi shuleni why ?
Mkuu.....
Kitabuni...wamechanganua...muda....sehemu/pahala....kitendo?
 
Wadau mwenye kujua hili suala anisaidie ufafanuzi tafadhari kuna vitu vizuri ambavyo nimekuwa nawaza na kuomba vinitokee na kweli huwa vinanitokea tena vingine huwa vikubwa zaidi ya nilivyoomba au tamani vinitokee nina mifano michache nitaelezea vitu ambavyo nilitamani kupata na nikaomba na kweli vikanitokea kwenye maisha yangu na sio labda napiga goti nasali naenda kanisani hapana huwa nawaza tu kwenye kichwa changu nafikiria na kweli kile kitu kinatokea kwenye maisha yangu mimi ni mkristo lakin nina 10 years sijakanyaga kanisani!

1. Ajira
Kipindi nipo chuo kabla sijamaliza nilikuwa natamani sana kupata kazi dsm na hiki kitu kilikuwa sana kwenye akili yangu na kweli baada ya kumaliza tu chuo ajira yangu ya kwanza nilipata kazi dsm mwaka 2016 ilikuwa private! ilivyotokea hii niliona ni kawaida tu imetokea.

Nimefanya kazi dsm kuna siku akilin mwangu nikawaza na nikaomba natamani kupata kazi yenye mshahara mkubwa zaidi ya hii lakin nikaomba kazi hiyo niipate kwenye shirika lolote ambalo linahudumia wakimbizi na nikaomba kazi hiyo niipate kigoma kweli hili swala lilinitokea mwaka 2018 nilipata kazi kwenye shirika moja la kimataifa lilikuwa linahudumia wakimbizi kambi moja iv kigoma nilipata kazi kule na nikaenda kigoma kufaya kazi hii ilianza kunishtua kidogo lakini pia badae nikaona kawaida tu.

Nikafanya kazi kule but kuna siku nilipata safari ya kikazi kwenda mwanza kwenye taasisi moja iv ya serikali kuna shughuli ya kiofisi nilienda kufanya kufika kwenye ile taasisi kwakweli nilivutiwa nayo namna inavyofanya kazi kiufanisi na kwa weledi mkubwa mazingira mazuri sana ghafla tena kichwani mwangu nikawaza na nikaomba dah natamani nipate kazi kwenye hii taasisi nifanye kazi hapa basi maisha yakaendelea.

Ghafla mwaka 2020 nilipata kazi dsm kwenye taasisi kubwa sana ya serikali ambayo shughuli zake zinaendana na ile ya mwanza hapa sasa ndo nikaanza kushtuka kwann kila nachowaza kichwani mwangu kinanitokea vile vile nikasema ngoja nione itakavyokuwa mbele ya safari


2. Mahusiano
Wakati nipo kigoma nafanya kazi kwenye lile shirika linalo hudumia wakimbizi kuna siku niliwaza na kuomba natamani nipate mwanamke mwenye sifa fulani ili niweze kuanza nae maisha pia niliwaza mwanamke huyo awe ni mwajiriwa wa serikali pia niliwaza na kuomba mtoto wangu wakwanza nitakae mpata awe wa kiume haya yote yalinitokea nilipata mdada mmoja mzuri sana mwajiriwa wa serikali kwenye chombo cha ulinzi na usalama na alinipa firstborn wa kiume kama nilivyowaza awali.

Haya ni baadhi ya mambo machache tu nimeelezea lakin kwakweli ni vitu vingi vingi sana nimekuwa nikiwaza na kuomba na kweli vinanitokea kama nilivyowaza hali hii imekuwa ikinishangaza sana na kuhisi labda nina nguvu fulani ndani yangu.

Navyosema kuomba sio kwamba napiga goti naomba au nafungua biblia hapana naomba tu ndani ya fikra zangu na kweli kitu kinatoa mimi sio mtu wa kwenda kanisani nina mwaka wa 10 sijakanyaga kanisani lakin huwa natenda matendo mema kama kusaidia yatima, masikini na wenye shida mbali mbali!

Au ndo ule msemo wanasema ukijinenea mazuri na kweli mazuri yatakutokea na ukijiombea mabaya na kweli mabaya yatakutokea?

Naombeni ufafanuzi kwenu wataalam mnaojua hiki kitu? mpaka baadhi ya ndugu jamaa na marafiki huwa wananiambia wewe mbona mambo yako yananyooka sana bila changamoto zozote.
Awazavyo mtu ndivyo alivyo neno linasema.

Epuka kujiwazia mabaya, yasije kukupata.

Pia watu wajifunze kuwa mtu ni ROHO anayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI.

Tunazo nguvu kubwa sana ndani yetu ambayo haijatumika Bado!!!!

Mimi binafsi ni kama wewe, nikiwaza kitu hutokea.

Amen
 
Wadau mwenye kujua hili suala anisaidie ufafanuzi tafadhari kuna vitu vizuri ambavyo nimekuwa nawaza na kuomba vinitokee na kweli huwa vinanitokea tena vingine huwa vikubwa zaidi ya nilivyoomba au tamani vinitokee nina mifano michache nitaelezea vitu ambavyo nilitamani kupata na nikaomba na kweli vikanitokea kwenye maisha yangu na sio labda napiga goti nasali naenda kanisani hapana huwa nawaza tu kwenye kichwa changu nafikiria na kweli kile kitu kinatokea kwenye maisha yangu mimi ni mkristo lakin nina 10 years sijakanyaga kanisani!

1. Ajira
Kipindi nipo chuo kabla sijamaliza nilikuwa natamani sana kupata kazi dsm na hiki kitu kilikuwa sana kwenye akili yangu na kweli baada ya kumaliza tu chuo ajira yangu ya kwanza nilipata kazi dsm mwaka 2016 ilikuwa private! ilivyotokea hii niliona ni kawaida tu imetokea.

Nimefanya kazi dsm kuna siku akilin mwangu nikawaza na nikaomba natamani kupata kazi yenye mshahara mkubwa zaidi ya hii lakin nikaomba kazi hiyo niipate kwenye shirika lolote ambalo linahudumia wakimbizi na nikaomba kazi hiyo niipate kigoma kweli hili swala lilinitokea mwaka 2018 nilipata kazi kwenye shirika moja la kimataifa lilikuwa linahudumia wakimbizi kambi moja iv kigoma nilipata kazi kule na nikaenda kigoma kufaya kazi hii ilianza kunishtua kidogo lakini pia badae nikaona kawaida tu.

Nikafanya kazi kule but kuna siku nilipata safari ya kikazi kwenda mwanza kwenye taasisi moja iv ya serikali kuna shughuli ya kiofisi nilienda kufanya kufika kwenye ile taasisi kwakweli nilivutiwa nayo namna inavyofanya kazi kiufanisi na kwa weledi mkubwa mazingira mazuri sana ghafla tena kichwani mwangu nikawaza na nikaomba dah natamani nipate kazi kwenye hii taasisi nifanye kazi hapa basi maisha yakaendelea.

Ghafla mwaka 2020 nilipata kazi dsm kwenye taasisi kubwa sana ya serikali ambayo shughuli zake zinaendana na ile ya mwanza hapa sasa ndo nikaanza kushtuka kwann kila nachowaza kichwani mwangu kinanitokea vile vile nikasema ngoja nione itakavyokuwa mbele ya safari


2. Mahusiano
Wakati nipo kigoma nafanya kazi kwenye lile shirika linalo hudumia wakimbizi kuna siku niliwaza na kuomba natamani nipate mwanamke mwenye sifa fulani ili niweze kuanza nae maisha pia niliwaza mwanamke huyo awe ni mwajiriwa wa serikali pia niliwaza na kuomba mtoto wangu wakwanza nitakae mpata awe wa kiume haya yote yalinitokea nilipata mdada mmoja mzuri sana mwajiriwa wa serikali kwenye chombo cha ulinzi na usalama na alinipa firstborn wa kiume kama nilivyowaza awali.

Haya ni baadhi ya mambo machache tu nimeelezea lakin kwakweli ni vitu vingi vingi sana nimekuwa nikiwaza na kuomba na kweli vinanitokea kama nilivyowaza hali hii imekuwa ikinishangaza sana na kuhisi labda nina nguvu fulani ndani yangu.

Navyosema kuomba sio kwamba napiga goti naomba au nafungua biblia hapana naomba tu ndani ya fikra zangu na kweli kitu kinatoa mimi sio mtu wa kwenda kanisani nina mwaka wa 10 sijakanyaga kanisani lakin huwa natenda matendo mema kama kusaidia yatima, masikini na wenye shida mbali mbali!

Au ndo ule msemo wanasema ukijinenea mazuri na kweli mazuri yatakutokea na ukijiombea mabaya na kweli mabaya yatakutokea?

Naombeni ufafanuzi kwenu wataalam mnaojua hiki kitu? mpaka baadhi ya ndugu jamaa na marafiki huwa wananiambia wewe mbona mambo yako yananyooka sana bila changamoto zozote.
Mkuu iwe mwanzo na mwisho usipende kuhadithia neema alizo kupa Mungu kwa watu kuna watu wengine ni wabaya wataweza kukuharibia kipaji chako na kukitumia kwa njia uchawi jihadhari sana. Endelea hivyo hivyo kuwasidia mayatima na masikini ipo siku utakuwa tajiri na sisi utuombe tuwe matajiri. Nikuulize swali je umezaliwa tarehe gani na mwezi gani?nina maanisha unajijuwa nyota yako ni ipi?
 
Wacha nikupe yangu...

Mimi ni mzinzi na mnywaji(sio mlevi)
Nikiacha kunywa na ngono kila ninalolitaka nafanikiwa...

Mfano ukinitendea vibaya nikinuia likupate jambo,hakika linakupata...hii imetokea mara nyingi.


Nikitamani kitu,na nikiomba hata kwa sala moja napata..
Mfano kuna kampuni ilikua ndio mpya inafunguliwa...nikasali usiku niipate hio kazi..

Kesho yake kwenye interview tulikua 100+,wakati tunasubiri kuitwa meneja(mzungu) akapita kati yetu,nikamtabasamia...
Amini alipofika ofisini aliagiza niitwe,nikafanyiwa interview na nikapata kazi kesho yake nikaanza.wengine wote wakaambiwa interview imekwisha...

Hongera sana mkuu
 
Hapa kwenye kupotezwa na watu fulani hata mimi huwa nahisi hivyo mkuu.

Nadhani kuna connection kubwa kati ya akili zetu zinachowaza na ulimwengu unaotuzunguka.

Kwamba huwenda akili zetu zina uwezo wa kuvuta mazingira ambayo yapo kichwani yakatokea kweli kwa namna ambavyo sisi hatuijui.

So kama mambo yako hivi maana yake kila mtu akijiwazia mambo mazuri na yanatokea maana yake kuna watu hawatonufaika.

Nakisoma kitabu cha "the power of subconscious mind" nikikimaliza nitaleta hapa namna ambavyo nimekielewa ili tukichambue zaidi.

Nahisi kuna pahala tunachezewa sisi kama binadamu.

Kwa nini hizi kanuni hatufundishwi shuleni why ?

Karibu sana chief utupe hayo madini asee
 
Kwa hivyo kwa kifupi wewe ni sterling wa maisha yako... Hongera. Sasa umesema si mtu wa ibada then utamshukuru nani?

Namshukuru mungu alie ndani yangu ambae anafanya kila zuri nalo waza kwangu hutokea!
 
Karibu sana chief utupe hayo madini asee
Haina shida mkuu tutadajili kwa kina sana na tutajumuisha na baadhi ya maandiko ya dini kuleta hamasa katika uzi


HIzi kanuni mpaka kwenye maandiko zipo lakini inataka tafakuri kujua makusudio
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom