Nahisi kuna kitu kizito we subiri nione mchezo unapoishia

Miezi 10 bado mdogo. Mimi dada angu mtoto wake nae alikuwa mweupeee sana usoni. Mwilini maji ya kunde, na hapo wazazi ni brownish tu. Unaweza hisi katoto kalikuwa kanapakwa vipako maybe.

Kale katoto kalipovuka miaka mi3, kaaanza kufifia mdo mdo. Mpk sahiv kameshakuwa keusi.
 
Ndio maana tukizaa watoto waliofanana na baba zao tunashukuru Mungu japo wakati mwingine tungetamani wafanane na sisi.

Hebu vuta picha mtoto anaanza kutiliwa mashaka jamani, mwisho wa siku ukute ni wakwako, hata akijakuwa tajiri hatakutunza uzeeni😔
 
Ndio maana tukizaa watoto waliofanana na baba zao tunashukuru Mungu japo wakati mwingine tungetamani wafanane na sisi.

Hebu vuta picha mtoto anaanza kutiliwa mashaka jamani, mwisho wa siku ukute ni wakwako, hata akijakuwa tajiri hatakutunza uzeeni😔
Kweli Kabisa hatomtunza aisee
 
Wataalam wa mambo... twende kazi....

Kwani huwa inachukua muda gani mtoto kuwa na rangi wa wazazi wake..? Au kufanana na wazazi wake hata mmoja tu.

Baba mweusi, mama mweusi lakini mtoto katoka mweupee. Ndiyo najua kuna ile rangi nyeupe ya kitoto lakini kama wazazi ni weusi baadae inabadilika na anakuwa mweusi, lakini mbona huyu rangi haibadiliki?

Mtoto ana miezi kumi saizi ila hata dalili za kubadilika rangi hamna, toto bado ni jeupee.

Nahisi kuna uwepo wa miso misondo hapa a.k.a kitu kizito sasa subiri.

Niliapa katika maisha yangu siji kuuwa mtu hata siku moja, kwanza ni zambi ila kumbe inawezekana kiurahisi tu aisee na wala sio zambi kumbe.

Ngoja kwanza muda wote najifanya kama sijashtuka vile nakaa na mtoto nacheza nae kumbe mjuba namkagua chalii na bado sijioni kabisaaaaa.

Tumefanana kitu kimoja tuu, ile mistari ya kwenye viganja... Alama zilivyojichora kwenye kiganja changu cha kushoto nayeye cha kushoto ziko vile vile.... Na za mkono wa kulia wangu zilivyojichora na yeye vile vile ila the rest ni utofauti wa kiwango cha lami....

Kuna time nikiwa nimempakata namcheki dogo weeee kama anakujaa alafu anakataaa..... Napiga funda Moja la safari... Namcheki tena weeee anakuja alafu anakataaaa.

Nahisi kuna siku nitatangazwa kwenye kile kipindi cha matukio ya wiki pale I.T.V kwa kitendo ambachi nimepanga kukifanya. We ngoja, time will tell.
Mkuu ACHA hizo sahau kabisa hayo unayowaza!!

Ki genetics wewe na mkeo mnaweza kuwa phenotypically black yaani kimuonekano wewe na mkeo kwa nje lakinj Kuna weupe wa nasaba zilizojificha yaani white recessive gene Kwa wote we na mkeo Sasa basi

Ikitokea Ile rangi nyeupe iliyojificha ikaungana na ya mkeo nyeupe iliyojificha atazaliwa mtoto mweupe ambaye ana nasaba zote ambazo zilijificha Kwa wazazi wote!!

Lakini mtoto huyo utafanana nae viganja au vidole vya miguuni au masikio au rangi ya macho Ile brightness ule mng'ao wa macho Yako !

Kama mtoto ni WA kiume kaangalie structure ya scrotum yaani mfuko unaobeba pumbu pia Kuna similarities hata kwenye dick!angalia dick yako ipoje halafu angalia ya mtoto kama ni WA kiume!!!

Ishu ya rangi sio factor kabisa ya kumkataa mtoto!!

Ndio maana unaweza Kuta wazazi Wana ngozi ya nyeusi.wote lakini wakazaa alibino kabisa !umewahi jiuliza tatizo lilikua Nini!!?
 
Wataalam wa mambo... twende kazi....

Kwani huwa inachukua muda gani mtoto kuwa na rangi wa wazazi wake..? Au kufanana na wazazi wake hata mmoja tu.

Baba mweusi, mama mweusi lakini mtoto katoka mweupee. Ndiyo najua kuna ile rangi nyeupe ya kitoto lakini kama wazazi ni weusi baadae inabadilika na anakuwa mweusi, lakini mbona huyu rangi haibadiliki?

Mtoto ana miezi kumi saizi ila hata dalili za kubadilika rangi hamna, toto bado ni jeupee.

Nahisi kuna uwepo wa miso misondo hapa a.k.a kitu kizito sasa subiri.

Niliapa katika maisha yangu siji kuuwa mtu hata siku moja, kwanza ni zambi ila kumbe inawezekana kiurahisi tu aisee na wala sio zambi kumbe.

Ngoja kwanza muda wote najifanya kama sijashtuka vile nakaa na mtoto nacheza nae kumbe mjuba namkagua chalii na bado sijioni kabisaaaaa.

Tumefanana kitu kimoja tuu, ile mistari ya kwenye viganja... Alama zilivyojichora kwenye kiganja changu cha kushoto nayeye cha kushoto ziko vile vile.... Na za mkono wa kulia wangu zilivyojichora na yeye vile vile ila the rest ni utofauti wa kiwango cha lami....

Kuna time nikiwa nimempakata namcheki dogo weeee kama anakujaa alafu anakataaa..... Napiga funda Moja la safari... Namcheki tena weeee anakuja alafu anakataaaa.

Nahisi kuna siku nitatangazwa kwenye kile kipindi cha matukio ya wiki pale I.T.V kwa kitendo ambachi nimepanga kukifanya. We ngoja, time will tell.
fala kwenye mawazo ya kifala
 
Wataalam wa mambo... twende kazi....

Kwani huwa inachukua muda gani mtoto kuwa na rangi wa wazazi wake..? Au kufanana na wazazi wake hata mmoja tu.

Baba mweusi, mama mweusi lakini mtoto katoka mweupee. Ndiyo najua kuna ile rangi nyeupe ya kitoto lakini kama wazazi ni weusi baadae inabadilika na anakuwa mweusi, lakini mbona huyu rangi haibadiliki?

Mtoto ana miezi kumi saizi ila hata dalili za kubadilika rangi hamna, toto bado ni jeupee.

Nahisi kuna uwepo wa miso misondo hapa a.k.a kitu kizito sasa subiri.

Niliapa katika maisha yangu siji kuuwa mtu hata siku moja, kwanza ni zambi ila kumbe inawezekana kiurahisi tu aisee na wala sio zambi kumbe.

Ngoja kwanza muda wote najifanya kama sijashtuka vile nakaa na mtoto nacheza nae kumbe mjuba namkagua chalii na bado sijioni kabisaaaaa.

Tumefanana kitu kimoja tuu, ile mistari ya kwenye viganja... Alama zilivyojichora kwenye kiganja changu cha kushoto nayeye cha kushoto ziko vile vile.... Na za mkono wa kulia wangu zilivyojichora na yeye vile vile ila the rest ni utofauti wa kiwango cha lami....

Kuna time nikiwa nimempakata namcheki dogo weeee kama anakujaa alafu anakataaa..... Napiga funda Moja la safari... Namcheki tena weeee anakuja alafu anakataaaa.

Nahisi kuna siku nitatangazwa kwenye kile kipindi cha matukio ya wiki pale I.T.V kwa kitendo ambachi nimepanga kukifanya. We ngoja, time will tell.
Hakizai haramu, kuna wapumbavu fulani walihararisha uhuni.....😅😅😅
 
Wataalam wa mambo... twende kazi....

Kwani huwa inachukua muda gani mtoto kuwa na rangi wa wazazi wake..? Au kufanana na wazazi wake hata mmoja tu.

Baba mweusi, mama mweusi lakini mtoto katoka mweupee. Ndiyo najua kuna ile rangi nyeupe ya kitoto lakini kama wazazi ni weusi baadae inabadilika na anakuwa mweusi, lakini mbona huyu rangi haibadiliki?

Mtoto ana miezi kumi saizi ila hata dalili za kubadilika rangi hamna, toto bado ni jeupee.

Nahisi kuna uwepo wa miso misondo hapa a.k.a kitu kizito sasa subiri.

Niliapa katika maisha yangu siji kuuwa mtu hata siku moja, kwanza ni zambi ila kumbe inawezekana kiurahisi tu aisee na wala sio zambi kumbe.

Ngoja kwanza muda wote najifanya kama sijashtuka vile nakaa na mtoto nacheza nae kumbe mjuba namkagua chalii na bado sijioni kabisaaaaa.

Tumefanana kitu kimoja tuu, ile mistari ya kwenye viganja... Alama zilivyojichora kwenye kiganja changu cha kushoto nayeye cha kushoto ziko vile vile.... Na za mkono wa kulia wangu zilivyojichora na yeye vile vile ila the rest ni utofauti wa kiwango cha lami....

Kuna time nikiwa nimempakata namcheki dogo weeee kama anakujaa alafu anakataaa..... Napiga funda Moja la safari... Namcheki tena weeee anakuja alafu anakataaaa.

Nahisi kuna siku nitatangazwa kwenye kile kipindi cha matukio ya wiki pale I.T.V kwa kitendo ambachi nimepanga kukifanya. We ngoja, time will tell.
Hizi akili watu mnazipata wapi? Aliyekuambia wazazi wote wakiwa.weusi hawawezipata mtoto mweupe? Unajua asili yako wewe? Mzazi wangu (baba) alikuw weupe na nywele za singa, mama pia alikuwa mweupe sana ngoma imekuja kwa watoto rangi ni mchanganyiko Kuna weupe, weusi na wale ambao si weusi wala weupe (maji ya kunde) na tumeishi na wazazi wetu vizuri hadi wazazi wetu walipomwitika Manani kwa wakati wao, Kama unataka kifanya tukio tukuone kwenye TV, yako mengi ya kufanya ila usimguse mtoto wala.mama yake, umeshindwa toa talaka wawe.mbali na wewe
 
Back
Top Bottom