Mkuu mbona unachelewa KUMPIGA ndizi huyo mrembo?Acha kuremba golini kaka!
Atatokea Yaya Toure ata score mapema kabisa ahahahaha
kwanza hicho kitendo cha wao kulala pamoja(kujumlisha na yeye kukublai kulala nae) alafu kuamka wamekumbattiana asubuhi it doesnt make sense kwangu mimi kabisa yaani,ameanzaje na amewezaje??
aisee...
kweli watu tupo tofauti
ndo nashangaa anamtesa tu mtoto wa watu kwa nini alikubali kulala naeKijana wetu sio striker mzuri!Nahisi ndiyo hawa vijana wanaokula chips mayai!Mm kama jinsia tofauti yenye umri unaoruhusiwa tena sio ndugu yangu tupo nae kitandani hata huo usingizi hauji bana
Nitakaa macho kufikiria game tu
Mnapendana............, Mngeanza tu mahusiano
Tunapendana sana na tuna mahusiano ya kaka na dada! ila mwenzangu na shangaa anataka tuchukiane na tuue mahusiano! au wewe unaonaje?Mnapendana............, Mngeanza tu mahusiano
hiyo pete kwenye avatar yako ni kwa ajili yake ama?