Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Sijaona hata sehemu moja kuna mtu kasema alipiga customer service walimwambia nini au alipoenda ofisi za Tigo walimwambia nini.
Tusiishie kulalamika tu.
Hatua ya kwanza kama una kero na duku duku ni kuwasilisha kwa wahusika.jibu na mtu atayekujibu ni rekodi na uthibithisho unaoweza kutumia kuwa sue mbeleni.
kama hujaridhika na majibu unaweza kwenda au kuwaeleza TCRA. TCRA haawezi kuota kuwa kuna watu wanaibiwa bila wahusika wenyewe kuwasilisha formal complaints .
kampuni za simu zina customer servcie na wanatakiwa kutaja majina.
So watanzania tujenge utamaduni kwenda hatua moja zaidi na kufuatilia. kwa official channel.
Tusiishie kulalamika tu.
Hatua ya kwanza kama una kero na duku duku ni kuwasilisha kwa wahusika.jibu na mtu atayekujibu ni rekodi na uthibithisho unaoweza kutumia kuwa sue mbeleni.
kama hujaridhika na majibu unaweza kwenda au kuwaeleza TCRA. TCRA haawezi kuota kuwa kuna watu wanaibiwa bila wahusika wenyewe kuwasilisha formal complaints .
kampuni za simu zina customer servcie na wanatakiwa kutaja majina.
So watanzania tujenge utamaduni kwenda hatua moja zaidi na kufuatilia. kwa official channel.