the american dream
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 1,754
- 836
If you were my son I would whoop some sense into your silly ass.
Absolutely Madame!
If you were my son I would whoop some sense into your silly ass.
Hahahaaaaa lol una mambo kweli weye umenifurahishaaa
If you were my son I would whoop some sense into your silly ass.
Nimekielewa ila kuhusu chuo basi umehitimi chuo cha punyeto
mmmmmh kwa hiyo bado bikra wewe au
dogo hayo ni mapenzi ya kwenye tamthilia za kizungu na kifilipino, nothing real hapa duniani kuwa unaweza kumpanda mwanamke wa zamani kiasihicho hadi hutamani wengine. au labda una tatizo la kisaikolojia. watu wako kwenye ndoa na bado wanapenda wa nje, na hata huyo unayempenda unaoa anakufa hata mwaka haujaisha umeoa mwingine.....hamjazaliwa naye huyo halafu si ajabu ukimkuta mwanamke mwenyewe unayempenda na kusema yeye alikupenda, utakuta ana watoto watatu kwenye ndoa yenye upendo na alishakudelete si ajabu akakukataa kama anakujua mbele ya jamaa aliyekuzidi miaka kumi....tulia kaka zako tule vyenu.Kuna binti nilitokea kumpenda sana wakati nasoma o level sikubahatika kudoo nae ila nilimpenda sana na yeye alinipenda sana, baada ya olevel nilikwenda
A level boarding mikoani mbal na nyumbani, toka a level mpaka chuo na sasa nimemaliza chuo nimeanza kazi sijawahi kumuona tena nilimpenda sana na sijawahi kupenda msichana mwingine tena zaidi yake hiyo hali imepelekea mpaka sitamani wasichana kabisa nimekuwa mpenzi wa pombe tu.
Nahisi kuchanganyikiwa maana now sijielewi bila pombe silali usiku.
Sijui nifanyeje?