usiniguse
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 1,725
- 1,194
Ninamiaka sita katika ndoa na mywife wangu,maisha yamekuwa yakienda kawaida tu.miaka miwili iliyopita nilipata ajari katika shughuli zangu nikaumia mgongo ,nilipata vipimo hospitali wakaniambia hakuna tatizo.
Baada ya miezi kama mitano hivi nikaanza kuhisi uwezo wangu kitandani unapungua na hata mywife wangu alianza kulalamika kuwa simtoshelezi,wakati natafuta ufumbuzi wa tatizo kwa kutumia dawa za asili bila mafanikio mywife akawa hanilalamikii tena nikaanza kuingiwa na hofu huenda kashapata kidume kingine,nikaanza uchunguzi kimya kimya.
Juzi nikarudi nyumbani ghafla bila taarifa na nikakuta mlango wa nje umerudishwa tu kwahiyo nikaingia ndani sikumwona mtu ,mlango wa chumbani ulikuwa kama umefungwa nilipokaribia mlangani nikasikia miguno kama watu wanafanya mapenzi chumbani nami nikauvamia mlango na bahati nzuri ulikuwa haujafungwa kwa ufunguo,nilipoufungua ghafla kwa lengo la kufumania nilichokikuta ndicho kinachoniumiza kichwa,kwani nilimkuta mkewangu anaweweseka akiwa anajihudumia kwa sexual toy nikabaki nimeduwaa naye pia akawa hana la kusema .
Lile dude nilimnyang'anya na kulitupa chooni na hapa nilipo sijui nimfanyeje !naombeni ushauri tafadhari.
Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums
Baada ya miezi kama mitano hivi nikaanza kuhisi uwezo wangu kitandani unapungua na hata mywife wangu alianza kulalamika kuwa simtoshelezi,wakati natafuta ufumbuzi wa tatizo kwa kutumia dawa za asili bila mafanikio mywife akawa hanilalamikii tena nikaanza kuingiwa na hofu huenda kashapata kidume kingine,nikaanza uchunguzi kimya kimya.
Juzi nikarudi nyumbani ghafla bila taarifa na nikakuta mlango wa nje umerudishwa tu kwahiyo nikaingia ndani sikumwona mtu ,mlango wa chumbani ulikuwa kama umefungwa nilipokaribia mlangani nikasikia miguno kama watu wanafanya mapenzi chumbani nami nikauvamia mlango na bahati nzuri ulikuwa haujafungwa kwa ufunguo,nilipoufungua ghafla kwa lengo la kufumania nilichokikuta ndicho kinachoniumiza kichwa,kwani nilimkuta mkewangu anaweweseka akiwa anajihudumia kwa sexual toy nikabaki nimeduwaa naye pia akawa hana la kusema .
Lile dude nilimnyang'anya na kulitupa chooni na hapa nilipo sijui nimfanyeje !naombeni ushauri tafadhari.
Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums