Na mimi nitoe mtazamo wangu hapa!
Kwanza, alichokifanya mkeo sio kibaya, usingemtupia nanii yake! Kumbuka, afadhali ya Mussa...!
Pili, upepo umebadilika sasa (umepungua nguvu za kiume), shukuru Mungu hizo zilizobakia! Unachotakiwa wewe, ni kuhakikisha mkeo anatosheka, vipi utamtosheleza? Hakikisha unakamua mafuta sana kabla ya kuweka gia! Hii itasaidia kumfikisha Posta haraka, just jiamini, ivi ni kweli m/ke anamfkisha m/ke mwenzie (Lesbian) halafu wewe akushinde kweli! Ukizingatia wewe unagobole, lisipotoa shaba unachoma na kisu!
Mmh! Ukishindwa kumfikisha, bora ukamnunulie lamchina lake!
Kila la heri Mkuu.