Nahisi kuchanganyikiwa

Nahisi kuchanganyikiwa

umelitupa chooni?
seriously?
atatafuta binaadamu soon..
 
Kwahiyo mnanishauri nikamnunulie jengine?

Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums
 
Ushawahi kuona nyumba selfu kontena ina choo cha shimo ndani...mbado
 
ILA kiukwel mkeo ana akili kupita kias.
anakupenda,
anakuheshimu na anajiheshimu..
i wish na wanaume wasio ridhiwa na wake zao wapige puny***... sio kutafuta nyumba ndogo..
ushakosea tayar kutupa dude lake, mwombe radhi aiseee..
 
Badala ushukuru kakuepusha na presha na magonjwa wewe umedisturb the environment? It will cost you effectively
 
Ulitakiwa uvue suruali fasta ujinyakulie ushindi kwenye dakika za nyongeza! Kuna stail nyingi ambazo unaweza fanya usiumie na yeye akarizika hebu awe anaikalia nakukatikia wewe nyosha mgongo wako mgonjwa chali na nyingine nyingi
 
Na mimi nitoe mtazamo wangu hapa!
Kwanza, alichokifanya mkeo sio kibaya, usingemtupia nanii yake! Kumbuka, afadhali ya Mussa...!
Pili, upepo umebadilika sasa (umepungua nguvu za kiume), shukuru Mungu hizo zilizobakia! Unachotakiwa wewe, ni kuhakikisha mkeo anatosheka, vipi utamtosheleza? Hakikisha unakamua mafuta sana kabla ya kuweka gia! Hii itasaidia kumfikisha Posta haraka, just jiamini, ivi ni kweli m/ke anamfkisha m/ke mwenzie (Lesbian) halafu wewe akushinde kweli! Ukizingatia wewe unagobole, lisipotoa shaba unachoma na kisu!
Mmh! Ukishindwa kumfikisha, bora ukamnunulie lamchina lake!
Kila la heri Mkuu.

Umemaliza yote best. Tatizo wamekariri.
Jando la mahospitalini lipigwe marufuku watu warudi porini tu wakapate shule ya njia mbadala.
 
dah!pole sana bt huna haja ya kuchanganyikiwa!
listen,unapoendelea kutafuta hiyo tiba, mbona unaweza kumfikisha bila kumuingizia hyo kitu!
...unajua nyie mmecrem tu,unaweza kumfanya afike kwa utundu wako tu + mikono yako as long unamfaham vzr ni rahisi sn,acha kuchanganyikiwa!do it,asije toka nje aisee!

Kuna wanawake ambao bila kupigwa mashine huwa hawaelewi somo. Sasa inawezkana huyu akawa wa namna hii.
 
Da jamani nimruhusu hapo si ndo atakuwa bize muda wote na hilo dude halafu atakuwa hana muda na mie

Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums

Mkuu swali unalopaswa kujiuliza ni hili. Hivi unayo hata hiyo nafasi ya kuamua kumruhusu au kutomruhusu??

Fikiri kaka.
 
Back
Top Bottom