Nahisi kuchanganyikiwa

Pole mkuu huna budi kufanya maamuzi yenye faida kwako
 
Tafuta nawe jamaa mwingine wa kukuliwaza?
Dunia ina watu wengi hii, unakwama wapiii?
 
Miezi 8 hujui kama ameoa au lah na bado unasema unampenda na unataka mfunge ndoa. ?? In short jamaa hatamwacha mke wake kwa ajili yako, na pale akili ikikukaa vizuri utakuja kugundua umetumika tu. Toka kabisa hapo kwenye hayo mahusiano uanze upya.
 
Uzuri unajua kuwa hakuna mtu yuko single, kikubwa ni kupambana wewe ndo uwe main chick, sasa hapo angalia utatumia maujanja gani upande chart,

Hata ukimuacha huyo jamaa ukienda sehemu nyingine utaanzia level hiyo hiyo ya mchepuko, baadaye kiwango kikipanda unakua main chick
Huwezi kusajiliwa na kuanza moja kwa moja lazima utokee bench
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Miezi 8 hujui kama ameoa au lah na bado unasema unampenda na unataka mfunge ndoa. ?? In short jamaa hatamwacha mke wake kwa ajili yako, na pale akili ikikukaa vizuri utakuja kugundua umetumika tu. Toka kabisa hapo kwenye hayo mahusiano uanze upya.
Ndio nataka namna ya kutoka nimeshajaribu njia zangu mimi nimeonaa nimeshindwa najikuta narudi pale pale
 
Daah Dunia sio far,Hivi ni kwanini tusibadilishane matatizo??
Nina lundo la matatizo ila wenzagu vitu vinavowasumbua nivya kijinga sanaa,Eeeh Mungu ikikupendeza tubadilishie matatizo na huyu kiumbe jmn wako mana hana akili kbs
 
Inategemea na level ya mahusiano waliofikia watu wameshazaa wanakaa wote wameshalipiana na mahari unawezaje kuwaachanisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…