Lawkeys
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 1,118
- 287
Hebu angalia hii:bowl:
BIBLIA vs Mapokeo
Ukila Tunda Utakufa - Hufi utafanana na Mungu, tena roho italazwa mahari pema peponi
Sabato siku ya 7 (Jumamosi) - Dominica siku ya kwanza (Jumapili)
Ubatizo wa Kuzamisha majini - Nyunyiza kichwani inatosha
Batiza mtu mzima - Batiza mtoto mchanga
Usile nguruwe (Isaya 66:16) - Kula vyote tu
Pasaka kwa Ukumbusho wa Yesu - Xmas Yesu, xmas tree na father Xmas
Mtu akifa haindi mbinguni (Mhu 9:5) - Mungu ailaze roho mahali pema peponi
Usizini amri ya 7 (Kutoka 20) - Usizini amri ya 6
Mwombezi Yesu (Ebrania) - Bikira Maria na kitubio inatosha
Amri ya 2 usijifanyie sanamu (Kut 20) - Acha sio ya lazima
Ndugu zangu msidanganyike, Yako 1:16
Najua ilitakiwa iwe mambo ya Dini, lakini hizi ni hoja mchanganyiko, au!
BIBLIA vs Mapokeo
Ukila Tunda Utakufa - Hufi utafanana na Mungu, tena roho italazwa mahari pema peponi
Sabato siku ya 7 (Jumamosi) - Dominica siku ya kwanza (Jumapili)
Ubatizo wa Kuzamisha majini - Nyunyiza kichwani inatosha
Batiza mtu mzima - Batiza mtoto mchanga
Usile nguruwe (Isaya 66:16) - Kula vyote tu
Pasaka kwa Ukumbusho wa Yesu - Xmas Yesu, xmas tree na father Xmas
Mtu akifa haindi mbinguni (Mhu 9:5) - Mungu ailaze roho mahali pema peponi
Usizini amri ya 7 (Kutoka 20) - Usizini amri ya 6
Mwombezi Yesu (Ebrania) - Bikira Maria na kitubio inatosha
Amri ya 2 usijifanyie sanamu (Kut 20) - Acha sio ya lazima
Ndugu zangu msidanganyike, Yako 1:16
Najua ilitakiwa iwe mambo ya Dini, lakini hizi ni hoja mchanganyiko, au!