nimemkagua mi mwenyewe na usajili nimeshampatia. kama vipi nikupe mdogo wake.
Unategemea utaambiwa ukweli?
..
...Red wine....haaahaaaaa...kiharage kitakuruka ruka ukinywa hiyo. ..sasa hivi utambaka Babu #Asprin ....
mmh babu hivi ni aina gani ya nanii unatumia mana naona unawatoa vijana kibao nishai hapa jf
wewe ndo unaongoza kwa michepuko uwiiiii twafaa
mashine tata haahahahau mzee nuksi huyu
Umeona amejiunga lini JFYani hiyo ndo sababu ya yeye kuwa mbabe kwa wanawake wote humu ndani? Hata mie nimejiunga kitambo lakini na hivi vibinti mbona vimejiunga juzi tuu.
Uzoefu unamatter sana
Kizuri kula na nduguyo
Siezi kukuweka kwen ntego usioweza kuunasua Bantu lady lol...dogo tumemtuma dukani
Babu asante kwa taarifa.
Naomba kujua tena kitu kingine je kwao wamejaliwa au ni mbwembwe tu na majigambo akistiliwa na keybord?
Umeona amejiunga lini JF
Uzoefu unamatter sana
Kama ndo hivyo basi, me nanyoosha mikono aisee.
Huyu mzee Asprin anasema kuna jambo hamjamalizana kisa mie nimesema nakulia timing kitambo. Ni jambo gani hilo?
Hahahahahahahahhahaha, ukweli unauma, ngoja anidanganye tuu
Haina noumer kiongoz, KFC city center au,,hv wanauza bia pale?
Asprin nasema kwa mods huu mchezo gani wa kuedit reply
uuiiiih Mr M plzzz mi sitaki tena jf bora niiikose kuliko wewe
Umeona amejiunga lini JF
mimi nasoma mapenziology na hatujui hesabu mi na umukagame ila hapo kwenye uwanja wa zamatoka mtatusamehempaka umeme utu r.i.p soon hahahhah unajua kufanya magazijuto???
when you plus 3 to 10 boys in bracket 3 dadies minus protection times bia za kuongwa is equal to sliming process
is mathematics simple??
class say yess
kwanza mimi hata simuelewi babu nuksi kweli huyu looh nikimuona hata sikoment tena
Yego masatu uliyo?