Nahisi kama najisumbua

Nahisi kama najisumbua

The End..

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2013
Posts
4,362
Reaction score
3,846
Habari zenu wana MMU

Labda niende moja kwa moja, nina mpenzi wangu ambaye kiukweli nampenda na yeye ananipenda ila nina kitu kinanikwaza.

Huyu mwenzangu yeye hana elimu kwani form 4 alipata zero.

Pia amejaribu kurudia ila mambo yale yale, upande wa familia ya kwao ni kaka yake tu anayependa penzi letu ila waliobaki hawataki kisa eti wamemtafutia mchumba kijijini.

Sipendi kuonekana nimemchezea na kutoka moyoni nampenda kweli, nishaurini je, nikomae na hali hii au nitafute usawa mwingine.
 
angalia feelings zake,mpime je anampenda huyo anayepewa au anakupenda wewe,kama anakupenda komaa mkuu
 
Kama kweli unampenda kwa dhati komaa nae mkuu
 
Fight for your love wewe, kwani yeye ana matatizo gani zaidi ya kufeli fomfoo?

tatizo lingine kila kitu namfundisha mimi jinsi ya kuishi na mpenzi hadi kitandani...... uzuri ananisikiliza na anaheshimu yote nimwambiayo!!!!
 
hilo la kuishia form four hauna tatizo nalo????

halafu maisha ya kutafutiana wachumba mbona yalishaisha siku nyingi saaaaaana
 
angalia feelings zake,mpime je anampenda huyo anayepewa au anakupenda wewe,kama anakupenda komaa mkuu

hivi hakutatokea matatizo tukihitaji kufunga ndoa!!!!! maana wazazi wake ndo hawataki hata kunisikia!!!!
 
hilo la kuishia form four hauna tatizo nalo????

halafu maisha ya kutafutiana wachumba mbona yalishaisha siku nyingi saaaaaana

kwenye form 4 kuna tatizo Heaven on Earth si unaelewa maisha ya sasa yalivyo!!!!
 
Unampenda toka moyoni moyo upi unazngumzia hapa....? Kwanini ulete hapa habari za zero form four...? Your not serious with your couple.
 
kufeli shule sio kufel maisha..... kama unampenda kwa dhati pigania penzi lenu... ndugu sio kikwazo kabisa kama nyie wawili mnapendana kwa dhat
 
Unampenda toka moyoni moyo upi unazngumzia hapa....? Kwanini ulete hapa habari za zero form four...? Your not serious with your couple.

narudia tena ninampenda kutoka moyoni ila kama elimu ndo vile tunasaidiana vipi.......
ok! hicho sio ishu sana kwangu kinachonisumbua ni wazee wake wananizingua vibaya!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom