Nahisi Gwajima atagombea uraisi 2030.

Nahisi Gwajima atagombea uraisi 2030.

ELI COHEN

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
9,467
Reaction score
28,901
Tukiwa hai tutakumbushana.

Siasa ni mchezo wa soka ukiwa madarakani ila ni mchezo wa kubet ukiwa haupo madarakani, na kama ukiwa mpinzani (haupo madarakani) na siasa zako za kubet unakuwa mtu ku-take risk mara zote, na katika historia ya gwaji boy ni mtu wa kuchukua risk na kuzamia katika kitu chochote controversial ili apate attention ya wananchi.
 
Tukiwa hai tutakumbushana.

Siasa ni mchezo wa soka ukiwa madarakani ila ni mchezo wa kubet ukiwa haupo madarakani, na kama ukiwa mpinzani (haupo madarakani) na siasa zako za kubet unakuwa mtu ku-take risk mara zote, na katika historia ya gwaji boy ni mtu wa kuchukua risk na kuzamia katika kitu chochote controversial ili apate attention ya wananchi.
Nchi ya kipumbavu hii, mnaacha kuongozwa na vichwa mnaongozwa na mipasho ya taarabu
 
Tukiwa hai tutakumbushana.

Siasa ni mchezo wa soka ukiwa madarakani ila ni mchezo wa kubet ukiwa haupo madarakani, na kama ukiwa mpinzani (haupo madarakani) na siasa zako za kubet unakuwa mtu ku-take risk mara zote, na katika historia ya gwaji boy ni mtu wa kuchukua risk na kuzamia katika kitu chochote controversial ili apate attention ya wananchi.
Kichaa na tapeli tagombeaje
Tukiwa hai tutakumbushana.

Siasa ni mchezo wa soka ukiwa madarakani ila ni mchezo wa kubet ukiwa haupo madarakani, na kama ukiwa mpinzani (haupo madarakani) na siasa zako za kubet unakuwa mtu ku-take risk mara zote, na katika historia ya gwaji boy ni mtu wa kuchukua risk na kuzamia katika kitu chochote controversial ili apate attention ya wananchi.
Tapeli na kichaa
 
Tukiwa hai tutakumbushana.

Siasa ni mchezo wa soka ukiwa madarakani ila ni mchezo wa kubet ukiwa haupo madarakani, na kama ukiwa mpinzani (haupo madarakani) na siasa zako za kubet unakuwa mtu ku-take risk mara zote, na katika historia ya gwaji boy ni mtu wa kuchukua risk na kuzamia katika kitu chochote controversial ili apate attention ya wananchi.
Labda aende kugombea Chadema, kwa maana CCM hatumuhitaji tena.
 
Hii hii 2025 Gwajima anabeba urais
Mkuu Gwajiboy akihamia chama kingne halaf wote wakaingia kupiga kampeni halaf wasiibe kura huyu Mama hatoboi hagusi hata anapigwa za uso asubuhi na mapema yaan huyu syo lisu wa kuatack mtu huyu anaongea fact waiingie ulingo wa siasa wapime uzani mama yenu hatoboi tena nilikuwa sina mpango wa kwenda kupiga kura ila gwajiboy yangu anayo
 
Tukiwa hai tutakumbushana.

Siasa ni mchezo wa soka ukiwa madarakani ila ni mchezo wa kubet ukiwa haupo madarakani, na kama ukiwa mpinzani (haupo madarakani) na siasa zako za kubet unakuwa mtu ku-take risk mara zote, na katika historia ya gwaji boy ni mtu wa kuchukua risk na kuzamia katika kitu chochote controversial ili apate attention ya wananchi.
Aingie CHAUMMA achangamshe Jimbo la kawe.
 
Tukiwa hai tutakumbushana.

Siasa ni mchezo wa soka ukiwa madarakani ila ni mchezo wa kubet ukiwa haupo madarakani, na kama ukiwa mpinzani (haupo madarakani) na siasa zako za kubet unakuwa mtu ku-take risk mara zote, na katika historia ya gwaji boy ni mtu wa kuchukua risk na kuzamia katika kitu chochote controversial ili apate attention ya wananchi.
Kupitia chama gani wewe unahisi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom