matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,585
- 15,363
Ni Yule mchapakazi kupindukia mwenye sifa kemkem hadi wadau wakanitafuta PM wanataka wamuoe.
Nilipokuwa nafanyia uchunguzi usio rasmi mtoto nikagundua anakidondoa ambacho kwa mujibu wa gadgets zake na vifaa vya ncha hata aende wapi, hawezi kupata katika mfumo ule kile kidonda.
Nimembana kwa mbinu zote za kiintelijensia pori na propaganda kali ambazo kama kweli yeye alishiriki hata kumkatakata na wembe au nailcutter aseme lkn alizidi kulia na kudai awezi.
Jaribio la mwisho lililipelekea nimuonee huruma, na kuhisi wenda mtoto kajiumiza mwenyewe japo bado nina vipisi vya dukuduku moyoni.
Baada ya kuhairisha tukio la kumrudisha kijijini kwao akasome desimali (namba) cha ajabu aliamka akafanya mambo kwa bidii mara mbili ya bidii yake ya kawaida. Alipalilia hadi majani kuzunguka nyumba na kumbusubusu mtoto huyo ambaye haongei lakini wanapendana sana.
Hofu yangu ilienda mbali nikahisi amemuambukiza hata ukimwi makusudi maana, aliwahi kuwa muhuni kwa kipindi kifupi kwa mujibu wa historia ya maisha yake ingawa sasa anasema ameokoka.
natamani kupata kijicamera simple tu cha bei yq chini sana ili nimdukue kama Bigbrother Afrika maisha yao hapo nyumbani tukiwa hatupo huwa yanakuwaje. Ukidhibitika uongo katika kauli zake hata nukta namtumbua kwa mstukizo ambao hatasahau maishani mwake.
natamani nimpime ngoma sijui hapo miongozo huwa inakuwaje wakuu, na dogo na yeye itabidi apimwe baada ya wiki mbili ili kujua kama ameamua kulipiza kisasi kwa mtoto wetu ikiwa anangoma.
wakuu naombeni muunge juhudi hili kwa maoni mbalimbali. Sinq lengo baya na ikiwa zoezi hili linavunja sheria ya faragha zake pia nijulishwe ilq katika hili family interest ziko juu ya faragha zake wakuu.
karibuni mtiririke.
nipo katika hisia mchanyato maana huyu dada wa kazi namkubali lkn pia mtoto kuwa salama ndio vision kuu ya kuwepo kwake huyo dada.
Nilipokuwa nafanyia uchunguzi usio rasmi mtoto nikagundua anakidondoa ambacho kwa mujibu wa gadgets zake na vifaa vya ncha hata aende wapi, hawezi kupata katika mfumo ule kile kidonda.
Nimembana kwa mbinu zote za kiintelijensia pori na propaganda kali ambazo kama kweli yeye alishiriki hata kumkatakata na wembe au nailcutter aseme lkn alizidi kulia na kudai awezi.
Jaribio la mwisho lililipelekea nimuonee huruma, na kuhisi wenda mtoto kajiumiza mwenyewe japo bado nina vipisi vya dukuduku moyoni.
Baada ya kuhairisha tukio la kumrudisha kijijini kwao akasome desimali (namba) cha ajabu aliamka akafanya mambo kwa bidii mara mbili ya bidii yake ya kawaida. Alipalilia hadi majani kuzunguka nyumba na kumbusubusu mtoto huyo ambaye haongei lakini wanapendana sana.
Hofu yangu ilienda mbali nikahisi amemuambukiza hata ukimwi makusudi maana, aliwahi kuwa muhuni kwa kipindi kifupi kwa mujibu wa historia ya maisha yake ingawa sasa anasema ameokoka.
natamani kupata kijicamera simple tu cha bei yq chini sana ili nimdukue kama Bigbrother Afrika maisha yao hapo nyumbani tukiwa hatupo huwa yanakuwaje. Ukidhibitika uongo katika kauli zake hata nukta namtumbua kwa mstukizo ambao hatasahau maishani mwake.
natamani nimpime ngoma sijui hapo miongozo huwa inakuwaje wakuu, na dogo na yeye itabidi apimwe baada ya wiki mbili ili kujua kama ameamua kulipiza kisasi kwa mtoto wetu ikiwa anangoma.
wakuu naombeni muunge juhudi hili kwa maoni mbalimbali. Sinq lengo baya na ikiwa zoezi hili linavunja sheria ya faragha zake pia nijulishwe ilq katika hili family interest ziko juu ya faragha zake wakuu.
karibuni mtiririke.
nipo katika hisia mchanyato maana huyu dada wa kazi namkubali lkn pia mtoto kuwa salama ndio vision kuu ya kuwepo kwake huyo dada.