Nahisi ananipenda

Mkuu nyie ni Wahindi? Kama ndiyo, toeni movie mtauza sana. Anyway zingatia kile kinachokupeleka kanisani
 
Muokoe sister wa watu pengine anahitaji sana mwanaume. Msaidie bhana ye hawezi kukuanza muanze tu usiwaze. Ila jua tu siku ya kukutana tu ndio anaupata ujauzito.
 
Muokoe sister wa watu pengine anahitaji sana mwanaume. Msaidie bhana ye hawezi kukuanza muanze tu usiwaze. Ila jua tu siku ya kukutana tu ndio anaupata ujauzito.
Ahsante mkuu Kwa uzalendo wa kiroho, huu ushauri ni mzuri, niko tayari kumtwaa akipata ujauzito itakuwa poa zaidi tutamalizia hatua zilizo bakia.
 
Anakupenda eehee.......kumbe kaambiwa ulikuwa nakatabia Ka kuchota sadaka na mara nyingi umeonywa bila kuacha.......SASA jiangalie umewekewa mtego ukinasa na kanisani hapo ndio bye bye
 
Weee jamaa mpuuzi kweli,,, Mwanamke kukuangalia tu tayari unajua kakupenda?
 
Duh we noma nikajua unaenda kusali church kumbe unaenda kuangalia warembo kwel Imani ngumu sana tutafika mbinguni tumechoka sana
 
Mtongoze muwe wapenzi haukatae usister muoane,
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…