Nahisi ananidanganya msaada jaman


Sepa zako, achana na hicho kimbwenelehi
 

Hapo bado hajapata digirii. Ungejivutavuta nae hadi apate digirii sasa hivi ungekuwa Mirembe unahudumiwa. Chezea digirii ya mwanamke wewe!
 
Hapo bado hajapata digirii. Ungejivutavuta nae hadi apate digirii sasa hivi ungekuwa Mirembe unahudumiwa. Chezea digirii ya mwanamke wewe!

Hahaha da sophy nimechekaje but kuna ukwel ndan yake
 

yan kawaida sana..akifika chuo lazima apate mwingine...atakukumbuka tu ipo cku.kama hakuna baya kubwa ulilomfanyia..nakuombea by the tym anageuka nyuma kukurudia uwe umepata wa kumreplace ili ageuke jiwe
 
yan kawaida sana..akifika chuo lazima apate mwingine...atakukumbuka tu ipo cku.kama hakuna baya kubwa ulilomfanyia..nakuombea by the tym anageuka nyuma kukurudia uwe umepata wa kumreplace ili ageuke jiwe

amina dadaangu mungu yu mwema ntapata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…