Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,103
- 9,531
Anakiwasha? Tupe takwimu zake.Angebakizwa huyu Rally Bwalya mngemjua? Nani ambaye Kakudanganya kuwa Shiboub aliachwa na Simba SC kwa kushuka Kwake Kiwango? Msilolijua ni sawa na Usiku wa Giza.
Hivi angekuwa ni mbovu ( kashuka Kiwango ) Klabu hiyo Kubwa na Tajiri Kiasi ya nchini Algeria ingemsajili na angekuwa anakiwasha kama afanyavyo sasa?
Kilichomuondoa Simba SC ni Kukataa kuendelea kumpa 10% Kiongozi Mmoja wa Simba SC ( namhifadhi ) katika Mshahara wake wa kila Mwezi.
Tuengue sio team kubwa Senegal lakini pia haina maana wachezaji hao sio wazuri ni sawa na Tanzania ni wazi kama wewe mzuri utaishia Simba ua Yanga na wao watashia ASC Diafaa au ASC jeanne japo sio lazima sana lakini kuna ukweli 90% sababu ya uwezo wa kifedha na fan base. Kuwa mchezaji bora wa Kagera Sugar sio kama kuwa mchezaji bora wa club mbili hizi kubwa. Na hii dunia nzima hata EPL kama wewe kipaji utaishia yale mateam makubwa tu huwezi kuwa bora ukabaki West Ham au sijui Leicester. Hoja hapa hao ukiona wanakuja huku wameshindwa kufika level ya kucheza nje ulaya au North Africa ikiwa njia ya kwenda ulaya. Huyo vicent bosou miezi mitatu tu akapigwa chini Eto Sahel ya Tunisia na haku recover tena kwenda ulaya anaweza kuwa mzuri lakini sio level ya league bora duniani. cream zile kama kina Michael essien zinaenda majuu huku ndio hawa kina Morrison. Watu wa West Africa ni wapiganaji ukiona kashindwa kutoboa ulaya ujue sio kakosa juhudi lakini uwezo.Sadio Kanoute na Sakho wamekuja na Sakho alikuwa mchezaji bora wa Tuengue Fc ya Senegal.
Isack na Ernest Boakey walikuwa key player wa Yanga na kuipa ubingwa wakitokea Ghana.
Kubwa zaidi Vicent Bozou kama unakumbuka alisajiliwa Yanga akicheza national team ya Togo kama regular starter kikosini mpaka ameondoka Yanga akiwa regular starter katika kikosi cha timu ya taifa ya Togo. Vipi na yeye alikuwa hana nafasi huko ulaya ?
Unataka Simba isajili mchezaji wa daraja la kuchezea Real madrid ?Tuengue sio team kubwa Senegal lakini pia haina maana wachezaji hao sio wazuri ni sawa na Tanzania ni wazi kama wewe mzuri utaishia Simba ua Yanga na wao watashia ASC Diafaa au ASC jeanne japo sio lazima sana lakini kuna ukweli 90% sababu ya uwezo wa kifedha na fan base. Kuwa mchezaji bora wa Kagera Sugar sio kama kuwa mchezaji bora wa club mbili hizi kubwa. Na hii dunia nzima hata EPL kama wewe kipaji utaishia yale mateam makubwa tu huwezi kuwa bora ukabaki West Ham au sijui Leicester. Hoja hapa hao ukiona wanakuja huku wameshindwa kufika level ya kucheza nje ulaya au North Africa ikiwa njia ya kwenda ulaya. Huyo vicent bosou miezi mitatu tu akapigwa chini Eto Sahel ya Tunisia na haku recover tena kwenda ulaya anaweza kuwa mzuri lakini sio level ya league bora duniani. cream zile kama kina Michael essien zinaenda majuu huku ndio hawa kina Morrison. Watu wa West Africa ni wapiganaji ukiona kashindwa kutoboa ulaya ujue sio kakosa juhudi lakini uwezo.
Mimi ni young African fan lakini nina disagree kua Vicent Bosou alikua regular starter national team.Sadio Kanoute na Sakho wamekuja na Sakho alikuwa mchezaji bora wa Tuengue Fc ya Senegal.
Isack na Ernest Boakey walikuwa key player wa Yanga na kuipa ubingwa wakitokea Ghana.
Kubwa zaidi Vicent Bozou kama unakumbuka alisajiliwa Yanga akicheza national team ya Togo kama regular starter kikosini mpaka ameondoka Yanga akiwa regular starter katika kikosi cha timu ya taifa ya Togo. Vipi na yeye alikuwa hana nafasi huko ulaya ?
Endelea hivyohivyo kuto kukumbukaMimi ni young African fan lakini nina disagree kua Vicent Bosou alikua regular starter national team.
Sikumbuki hata Vicent alicheza mechi hata moja.
Kaangalie mechi za TogoMimi ni young African fan lakini nina disagree kua Vicent Bosou alikua regular starter national team.
Sikumbuki hata Vicent alicheza mechi hata moja.
Bro shiboub alitaka fedha nyingi,simba walishindwaMtanisamehe kama nitawakwaza ila kwangu Mimi Mightier siiaona tofauti ya Kiungo Shiboub tuliyemwacha kwa sababu za Kipuuzi na leo hii Kumsajili Kiungo Kanoute tunayempamba.
Tena kwa ninavyomjua Shiboub na kumtizama tokea akiwa Kwao Sudan na katika Mashindano mbalimbali ya Kimataifa aliyocheza kwa mtazamo wangu wa Jicho Kali la Kiufundi naona Shiboub amemzidi vingi Kanoute.
Kwa kusema hivi simaanishi kuwa Mightier sijapendezwa na Usajili wa Kiungo Kanoute kwani nimeona ni mzuri ila Simba SC kumuacha Shiboub na kumsajili Kanoute ni sawa na Manchester United FC iachane na Paul Scholes halafu imsajili kwa Mbwembwe Nicky Butt.
Nilisikitika mno Kuachwa kwa Shiboub.
Kumbe....!!! Sasa kwanini hatukumpa tu ili awe na Msaada Kwetu ambao huenda hata Kanoute atakuja nao au anao?Bro shiboub alitaka fedha nyingi,simba walishindwa
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Daaa umenikumbusha mbali sana, Vincent Bosue,bonge la beki na aliiipenda sana yanga.Sadio Kanoute na Sakho wamekuja na Sakho alikuwa mchezaji bora wa Tuengue Fc ya Senegal.
Isack na Ernest Boakey walikuwa key player wa Yanga na kuipa ubingwa wakitokea Ghana.
Kubwa zaidi Vicent Bozou kama unakumbuka alisajiliwa Yanga akicheza national team ya Togo kama regular starter kikosini mpaka ameondoka Yanga akiwa regular starter katika kikosi cha timu ya taifa ya Togo. Vipi na yeye alikuwa hana nafasi huko ulaya ?
Sio team kubwa na ilikuwepo ligi ya mabingwa ( kama sio shirikisho).Tuengue sio team kubwa Senegal lakini pia haina maana wachezaji hao sio wazuri ni sawa na Tanzania ni wazi kama wewe mzuri utaishia Simba ua Yanga na wao watashia ASC Diafaa au ASC jeanne japo sio lazima sana lakini kuna ukweli 90% sababu ya uwezo wa kifedha na fan base. Kuwa mchezaji bora wa Kagera Sugar sio kama kuwa mchezaji bora wa club mbili hizi kubwa. Na hii dunia nzima hata EPL kama wewe kipaji utaishia yale mateam makubwa tu huwezi kuwa bora ukabaki West Ham au sijui Leicester. Hoja hapa hao ukiona wanakuja huku wameshindwa kufika level ya kucheza nje ulaya au North Africa ikiwa njia ya kwenda ulaya. Huyo vicent bosou miezi mitatu tu akapigwa chini Eto Sahel ya Tunisia na haku recover tena kwenda ulaya anaweza kuwa mzuri lakini sio level ya league bora duniani. cream zile kama kina Michael essien zinaenda majuu huku ndio hawa kina Morrison. Watu wa West Africa ni wapiganaji ukiona kashindwa kutoboa ulaya ujue sio kakosa juhudi lakini uwezo.
Hata Tukuyu Stars walishawahi kuwa mabingwa wa league, Azam lakini sio kigezo kuwa ni team kubwa na haijawahi kuingia katika CL ma group labda huko shirikisho. Wamewahi kuwa mabingwa wa nchi yao mara moja tu na wako level ya Kina enzi hizo Tukuyu, Azam hata MtibwaSio team kubwa na ilikuwepo ligi ya mabingwa ( kama sio shirikisho).
Sio team kubwa na na ndio bingwa wa ligi?
MVP wa ligi ni mchezaji wa kawaida?( hii ya MVP sina uhakika itabidi nifanye tafiti) ila kwa taarifa zilizopo alikuwa MVP
Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Bingwa wa 2020_2021 ni nani?Hata Tukuyu Stars walishawahi kuwa mabingwa wa league, Azam lakini sio kigezo kuwa ni team kubwa na haijawahi kuingia katika CL ma group labda huko shirikisho. Wamewahi kuwa mabingwa wa nchi yao mara moja tu na wako level ya Kina enzi hizo Tukuyu, Azam hata Mtibwa
Akili zako za hovyo tu, kwa hiyo unaamini wachezaji wote wasiochezea huko ulikotaja basi hawafai? Kuna mambo hujayajua mengi.Tunapenda majina Kanoute, Sakho tukiona majina hayo tunajiona kama kina Kanoute wa West ham united. Ndio yale kama ya Yanga Juninho wakadhani wamekuwa Liverpool. Tuwe wa kweli mchezaji mzuri wa West Africa atakuja huku kwetu kakosa sana ataenda Belgium.
Kwa majibu ya Magori moja kati ya wajumbe wa bodi ya simba ni kua hawakuitaji shiboub aondoke ila kocha Enzi izo Sven hakutamuitaji kwenye mipango yake, kwaiyo ndo sababu ya shiboub hakuongezewa mkatabaMtanisamehe kama nitawakwaza ila kwangu Mimi Mightier siiaona tofauti ya Kiungo Shiboub tuliyemwacha kwa sababu za Kipuuzi na leo hii Kumsajili Kiungo Kanoute tunayempamba.
Tena kwa ninavyomjua Shiboub na kumtizama tokea akiwa Kwao Sudan na katika Mashindano mbalimbali ya Kimataifa aliyocheza kwa mtazamo wangu wa Jicho Kali la Kiufundi naona Shiboub amemzidi vingi Kanoute.
Kwa kusema hivi simaanishi kuwa Mightier sijapendezwa na Usajili wa Kiungo Kanoute kwani nimeona ni mzuri ila Simba SC kumuacha Shiboub na kumsajili Kanoute ni sawa na Manchester United FC iachane na Paul Scholes halafu imsajili kwa Mbwembwe Nicky Butt.
Nilisikitika mno Kuachwa kwa Shiboub.
Kuchukuwa ubingwa sio ukubwa wa team hata huko majuu Leicester aliwahi kuwa bingwa lakini sio kwamba team kubwa. Azam sio team kubwa kuna team Tanzania zina history kubwa kuliko Azam ni shida tu wanapitia. Pamba au Maji Maji wana history kuliko hiyo Azam. Nimesema wa Senagal kama mzuri ataenda kucheza Ligue 1 france hawezi kuja Tanzania.Bingwa wa 2020_2021 ni nani?
Team inayochukua ubingwa ni kubwa au ndogo?
Mfano hapa Bongo Azam ni team ndogo?
Tukija kwa mchezaji ni mvp wa league, vipi na yeye tunasemaje?
Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Kwa mentality uliyonayo, tuishie hapa mkuuKuchukuwa ubingwa sio ukubwa wa team hata huko majuu Leicester aliwahi kuwa bingwa lakini sio kwamba team kubwa. Azam sio team kubwa kuna team Tanzania zina history kubwa kuliko Azam ni shida tu wanapitia. Pamba au Maji Maji wana history kuliko hiyo Azam. Nimesema wa Senagal kama mzuri ataenda kucheza Ligue 1 france hawezi kuja Tanzania.
Inawezekana akili zangu sio sawa ila ukweli ndio huo mchezaji mzuri haji huku chini tusijidanganye wale wachezaji wa West Africa mentality yao tofauti wanapigana mbele aje Yanga na Simba? kwa lipi kubwa, acheni kujidanganya kitu kizuri wanabeba juu kwa juu hukohuko.Akili zako za hovyo tu, kwa hiyo unaamini wachezaji wote wasiochezea huko ulikotaja basi hawafai? Kuna mambo hujayajua mengi.
Sawa tu ila kashindwa mchezaji kwenda nje ataenda North Africa au South Africa huko ndio kuna pesa na fursa hawezi kuja league ya kwetu huo ndio ukweli mchungu.