Nahamia mkoani nauza site ya duka na bidhaa zake

medicine

JF-Expert Member
Feb 28, 2015
216
137
Kwa mtu anayetaka kuendeleza biashara ambayo tayari ina mizizi na wateja wa kudumu tumia fursa hii

Nina duka la vyakula na mahitaji ya nyumbani naliuza kwa sababu nataka nihamie mkoani Njoo uliendeleze biashara site ni nzuri nipo Mbagala Zakhem kodi 50 kwa mwezi bado miezi miwili
Pia nauza freezer kubwa la biashara 480,000/= na pikipiki used nzima 700,000/= tu bei ya hasara
Computer desktop aina ya Dell used 150,000/=tuu
Camera digital aina ya Sony 95,000/= tuu
Call 0769017151

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bidhaa unauzaje zote pamoja ukiachana na hizo ambazo umezitaja bei tayari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…