Nahamia mkoani nauza site ya duka na bidhaa zake

medicine

JF-Expert Member
Feb 28, 2015
216
137
Kwa mtu anayetaka kuendeleza biashara ambayo tayari ina mizizi na wateja wa kudumu tumia fursa hii

Nina duka la vyakula na mahitaji ya nyumbani naliuza kwa sababu nataka nihamie mkoani Njoo uliendeleze biashara site ni nzuri nipo Mbagala Zakhem kodi 50 kwa mwezi bado miezi miwili
Pia nauza freezer kubwa la biashara 480,000/= na pikipiki used nzima 700,000/= tu bei ya hasara
Computer desktop aina ya Dell used 150,000/=tuu
Camera digital aina ya Sony 95,000/= tuu
Call 0769017151
IMG_20190208_183227.jpeg
IMG_20190208_183123.jpeg
IMG_20190107_221249.jpeg
IMG_20181115_220048.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bidhaa unauzaje zote pamoja ukiachana na hizo ambazo umezitaja bei tayari
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom