Nahamia Botswana, naomba mawili matatu kuhusu huko

Nahamia Botswana, naomba mawili matatu kuhusu huko

Kuwa makini sana na ngono uzembe, maana watu wanaoishi na Virusi vya UKIMWI kati ya umri wa miaka 15- 49 ni asilimia 24.8. Akili kichwani kwako ndugu, maana wanawake wa kitswana sio wachoyo wa viungo vyao ...haswa kwa wageni (foreigners).
Kila la heri mkuu.

PS: Kaka yangu alikuwa Daktari huko Botswana miaka ya 1989....kwa bahati mbaya alipata maambukizi ya UKIMWI huko. Alifariki mwaka 1997. Alituachia majonzi makubwa sana katika familia yetu. Mke wake alifariki mwaka 2012 na kuwaacha watoto bila wazazi. Kwa kweli nilipachukia sana Botswana. Ila Mungu ni mwema.
We nae mtu wa ajabu kweli! Suala la ukimwi lina sababu nyingi na si kukaa Botswana ndo lazima ufe na Ukimwi. Hata angeishi Tz huenda napo angepata
 
We nae mtu wa ajabu kweli! Suala la ukimwi lina sababu nyingi na si kukaa Botswana ndo lazima ufe na Ukimwi. Hata angeishi Tz huenda napo angepata
Mtu wa ajabu ni huyo aliyekubwaga wewe hapa duniani mkuu!
 
Kuomba maoni kwa watu siyo vibaya, Ila maoni ya kweli utayapata within yourself and not without. Mtizamo (attitude) wako ndio kila kitu. Ukiwa optimistic, loving, caring, moderate temper na hardworking, popote utaweza kuishi na utapendwa. Watswana ni watu wapole na wakarimu sana, ila pia wanathamini utaifa wao sana Kiasi ambacho kama wewe siyo mwelewa, utahisi unabaguliwa. Huduma zote za umma, mwenyeji kwanza, mgeni baadae tofauti na baadhi ya nchi zinazothamini sana wageni kuliko wazawa. Kwa ujumla ni pazuri sana na utapapenda.
 
Back
Top Bottom