Nahamia Botswana, naomba mawili matatu kuhusu huko

Nahamia Botswana, naomba mawili matatu kuhusu huko

Karibu ughaibuni. Elimu ni ile inayokuwezesha kutawala mazingira yako. Ikuwezeshe kuishi popote katika sayari hii na kustawi. Sasa naweza kusema shuleni ulielimika. Wengi wenu mkifika Dar mnajiona mko "on top of the world". Mnajiona mmepata "trophy" maishani. Wewe ni mfano wa kuigwa kwa wadogo zetu. Hapo Botswana leseni ya udereva inaisha muda wake baada ya miaka 5, siyo mitatu kama Bongo. Gaborone kuna parking lots za kutosha. Hautolipia tena ku-park kwenye ardhi ya Mungu. Gaborone ina wakaazi kama lakh 3 hivi na magari machache lakini barabara zao ni pana ajabu. Hakuna foleni. Unaweza kukaa sehemu yoyote ya mji na kuamka saa 12:30 asubuhi, ukaoga, ukala kifungua kinywa na bado ukawahi kazini. Malls kubwa ziko kila mahali. Siyo Dar yenye wakaazi mil 5 lakini ina ka-Mlimani City tu. Cost of living iko chini ukilinganisha na Afrika Kusini.
Asantee kwa kutufungua akili ndugu
 
Cost of living iko chini ukilinganisha na Afrika Kusini.
Acha uongo. Nimeishi Gaborone na Joburg+Pretoria. Maisha Gaborone ni expensive sana pengine kutokana na nchi kuwa landlocked (wabotswana wengi wanategemea vitu kutoka South Africa). Uimara wa Pula dhidi ya fedha nyingine unafanya maisha kuwa magumu zaidi (watu hawatumii zaidi). Binafsi Bora South Africa kuliko Botswana
 
botswana kwanza kuna makhrikiri pia kuna jangwa
 
bila shaka unaenda kufundisha lugha yetu pendwa kiswahili,, kikubwa zingatia maoni ya wadau khs botswana jinsi ilivyo na ujumla wake... kuna majirani zangu mtu na mke wake ni madocta wote wanafanya kazi huko nasikia wanapasifia pako poa pia maslahi ni mazuri ukilinganisha na hapa kwetu... usipobweteka na ukajua nini hasa kimekupeleka hakika utatoboa mkuu, best wishes
 
Nimebahatika kupata kazi katika chuo kimoja cha elimu cha Botswana, baada ya kukosa ajira Tanzania.

Sasa nauliza wadau mnaojua machache kuhusu nchi hii mnijuze.
JF huko c ipooo?
Tutawasiliana[emoji196]
 
Nasikia arv zinauzwa dukani tu na ukimwi ni gonjwa LA kawaida kama maralia tuu... Condom zimepigwa marufuku.. Hizo ni fununu tuu
 
Ukiweza kufunga zipu mbele ya watoto chocolate color, shepu za uhakika, chuchu konzi, utatoka mkuu Othewise tunasubiri utuletee mbegu kama utabahatika kurudi mzima.
Mmmh nawewe?????....siamini!
 
Kuko poa sana, cost of lving is low, very friendly, well planned, hakuna majungu na umbea
 
Acha uongo. Nimeishi Gaborone na Joburg+Pretoria. Maisha Gaborone ni expensive sana pengine kutokana na nchi kuwa landlocked (wabotswana wengi wanategemea vitu kutoka South Africa). Uimara wa Pula dhidi ya fedha nyingine unafanya maisha kuwa magumu zaidi (watu hawatumii zaidi). Binafsi Bora South Africa kuliko Botswana
Mwongo wewe mwenyewe. Gaborone nimeishi na Cape Town pia nimeishi. Gharama ya maisha South Africa iko juu - chakula, usafiri, viwanja, pango la nyumba nk. Gharama ya taxi Cape Town, mathalani, iko juu sana kuliko Gaborone. Kitu ambacho ni rahisi South Africa ni usafiri wa anga. Bila shaka ni kwa sababu wana ndege zao nyingi tu. Kuwa landlocked si issue kwa nchi zenye viongozi wenye akili. Nenda Rwanda na Zambia - angalia barabara zao. Ni bora kuliko zetu wenye bahari, mito na maziwa.
 
Mwongo wewe mwenyewe. Gaborone nimeishi. Nenda Rwanda na Zambia - angalia barabara zao. Ni bora kuliko zetu wenye bahari, mito na maziwa.
Sina experience ya Cape Town mm nimesema GAUTENG province. Rwanda maisha ni cheap? Kweli ma-zombie mpo wengi
 
Back
Top Bottom