nagawa code ya ku-stream live zali all white party.

nagawa code ya ku-stream live zali all white party.

Adobe After Effect

Senior Member
Joined
Dec 31, 2012
Posts
144
Reaction score
75
zali all white party sasa imekuwa ni talk of the the town,kila kijana anaongelea zali all white party ambayo inafanyika leo pale mlimani city.nimeona isiwe tabu,nimenunua code maalum ili ni-stream live online nikiwa huku kijijini kwetu.nimenunua code tatu,nani angependa nimgawie code mbili zilizobaki?.hii ingewafaa sana watu wangu wa diaspora.....aaah natania wakuu.:tonguez::tonguez:
zali.jpg
 
watanzania kama nyie bora mfe tu tubaki na watu wa maana yaani katika vitu vya msingi umeona hilo ndio jambo la maana
 
watanzania kama nyie bora mfe tu tubaki na watu wa maana yaani katika vitu vya msingi umeona hilo ndio jambo la maana
mkuu hata hao watanzania ambao unadhani hawapaswi kufa,kuna mda mchache wanautenga ili kuchangamsha akili.samahani sana kama nimekuudhi.
 
Ivi kuna nini cha zaidi hapo kwa iyo shughuli?
 
Hivi sheria za bingo zunamruhusu zari kyfanya biashara na je yuko na uraia au na je analipa kodi mimi sielewi.

swissme
 
Bado wapumbavu wako wengi yaani upuuzi hii event wanaona ndy kitu cha maana.
 
hakuna mwanajamvi yoyote uliyemjibu barabara huyu mburumundu!
 
Hahahahahaahaa hahahahahaaahaaa naaaaam nilitamani sana nipate hizo Code nimsikilize Shemeji yake mtu leo wakati anaagana na mashemeji zake
 
zali all white party sasa imekuwa ni talk of the the town,kila kijana anaongelea zali all white party ambayo inafanyika leo pale mlimani city.nimeona isiwe tabu,nimenunua code maalum ili ni-stream live online nikiwa huku kijijini kwetu.nimenunua code tatu,nani angependa nimgawie code mbili zilizobaki?.hii ingewafaa sana watu wangu wa diaspora.....aaah natania wakuu.:tonguez::tonguez:
View attachment 248401

Badala ya kuwaza Maendeleo ya maisha yako unawaza upuuzi??!! Mawazo mgando wewe!!
 
Zali all white party wale wa ku hacker leteni code
 
Ivi kuna nini cha zaidi hapo kwa iyo shughuli?
Mie mwenyewe najiuliza sana. Ujue wabongo kama wamelogwa vle!!! Hawaifikirii shilingi kushuka thamani wanafkiria amsha popo tu.. Haya bhana. Kila mtu na lyf lake kweli!
 
Mie mwenyewe najiuliza sana. Ujue wabongo kama wamelogwa vle!!! Hawaifikirii shilingi kushuka thamani wanafkiria amsha popo tu.. Haya bhana. Kila mtu na lyf lake kweli!

Angekuwa anafanya JAY Z ungekuwa wa kwanza kuanzisha thread JF lakin kisa Chibu mbongo ndio hakuna cha maana…!!! Waache wa refresh banah, kwan we unaopenda ata kulipia 500 kwenye mpira ili uangalie unapata nn?
 
watanzania kama nyie bora mfe tu tubaki na watu wa maana yaani katika vitu vya msingi umeona hilo ndio jambo la maana

Ukienda Rwanda huwezi kupata kitu kama hiki raia wapo buyz kuumiza kichwa ni mikakati gani waitumie kuimarisha uchumi wao sis tunawaza uku! Zari passport yake inaisha mda gani hapa tz ukiangalia hana hata passport!
 
naomba alshabaab walipue na walioko kwenye huo us** nge wte wafe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom