Nafunga ndoa karibuni sana

Nafunga ndoa karibuni sana

bitebo7

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2015
Posts
858
Reaction score
601
Hatimae yametimia mda si mrefu nitafunga pingu za maisha na mwanamke wa ndoto zangu
Karibuni sana ndugu zangu na marafiki zangu
Itakua tarehe 27/8/2017
Dar es salaam
Naomba mungu anisimamie niweze kulitimiza jambo hili kwa uwezo wake pia aendelee kuilinda ndoa yangu
Karibuni sana
 
Hatimae yametimia mda si mrefu nitafunga pingu za maisha na mwanamke wa ndoto zangu
Karibuni sana ndugu zangu na marafiki zangu
Itakua tarehe 27/8/2017
Dar es salaam
Naomba mungu anisimamie niweze kulitimiza jambo hili kwa uwezo wake pia aendelee kuilinda ndoa yangu
Karibuni sana
hongera sana, next time kumbuka kuanza neno Mungu kwa herufi kubwa, if at all unamaanisha Mungu mkuu.

ukianza na herufi ndogo inamaanisha miungu.

Kila la kheri
 
hongera sana, next time kumbuka kuanza neno Mungu kwa herufi kubwa, if at all unamaanisha Mungu mkuu.

ukianza na herufi ndogo inamaanisha miungu.

Kila la kheri

Sawa mkuu
 
Nitumie kadi ya reception inbox ninaahidi nitatinga. Hongera sana mkuu.
 
Hatimae yametimia mda si mrefu nitafunga pingu za maisha na mwanamke wa ndoto zangu
Karibuni sana ndugu zangu na marafiki zangu
Itakua tarehe 27/8/2017
Dar es salaam
Naomba mungu anisimamie niweze kulitimiza jambo hili kwa uwezo wake pia aendelee kuilinda ndoa yangu
Karibuni sana
Usichepuke ndoa ipate kudumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom