mwasakujonga-
New Member
- Jan 23, 2023
- 4
- 3
Habari za wakati huu ndugu walimu na Watanzania wenzangu,
Naitwa Mwl. Emmanuel, naomba kama kuna mtu anafahamu shule yoyote inayohitaji mwalimu wa masomo ya physics na chemistry, advanced level & na o'level anijulishe, nipo tayari kufanya kazi kwa weledi na ufanisi ili kufikia malengo ya taasisi husika.
Nipo Mbeya ila mahali popote tafika kufanya kazi.
Natanguliza shukrani zangu za dhati na Mungu awabariki.
Contacts: 0658316128
Share is caring.
Naitwa Mwl. Emmanuel, naomba kama kuna mtu anafahamu shule yoyote inayohitaji mwalimu wa masomo ya physics na chemistry, advanced level & na o'level anijulishe, nipo tayari kufanya kazi kwa weledi na ufanisi ili kufikia malengo ya taasisi husika.
Nipo Mbeya ila mahali popote tafika kufanya kazi.
Natanguliza shukrani zangu za dhati na Mungu awabariki.
Contacts: 0658316128
Share is caring.