Nafundisha masomo ya kiingereza na historia!

Nafundisha masomo ya kiingereza na historia!

B.kuchaga

Member
Joined
Nov 1, 2014
Posts
8
Reaction score
1
Ni kijana mtanzania mwenye umri wa miaka 26 ambaye natarajia kuhitimu shahada ya elimu katika chuo cha Saut mwez ujao. Ningependa kuomba nafasi ya kufundisha masomo tajwa hapo juu katika shule yeyote iliyoko Tanzania mara tu baada ya kuhitimu masomo yaani (from july). Ahsanten Email:bkuchaga@gmail.com/ 0653165750
 
all the best
maana History na English mko wengii
Hata serikali inaaribia kutajiri tena kwa masomo tajw hapo juu
 
Back
Top Bottom