Nafundisha Gitaa bure!

Uko Mkoa gani Mkuu, mimi nipo Mwanza na nahitaji sana hiyo kitu, na nina gitaa la Mzee wangu lkn hakuwa na muda wa kunifundisha
Mie nipo Dar mkuu. Ila unaweza kujifunza mwenyewe pia kwa njia ya Youtube. Nikija Mwanza natkuja nione kama bado umeitunza vizuri hiyo hazina ya Baba!
 
Rudisha mapenzi kwenye Gitaa mkuu. Moja ya faida ya Gitaa ni kwamba halihitaji umeme...muda wowote kazi tu!

Ni kweli mkuu, gitaa nililonalo ni lile lisilotumia umeme ila tatizo ni kuumia vidole. Ila Preta amejitolea kunifundisha kwa njia ya kupapasa
 
We jamaa Mungu Akubariki sana yaan kama umeniona! Unaishi dar sehem gn rafiki?..mi nipo k'mbon
 
We jamaa Mungu Akubariki sana yaan kama umeniona! Unaishi dar sehem gn rafiki?..mi nipo k'mbon
 
Mkuu mie nipo Dar! kama una nia kweli, jipange ununue Gitaa then jifunze kupitia Youtube. Kuhusu uke mzigo, nilikosa mtu so nikaamua bora nikajinunulie Gitaa tu.
ulinunua ngapi mkuu? unaweza weka sample?
 
Unapatikana wapi hapa Dar?
 
Mie nipo Dar mkuu. Ila unaweza kujifunza mwenyewe pia kwa njia ya Youtube. Nikija Mwanza natkuja nione kama bado umeitunza vizuri hiyo hazina ya Baba!
Nawezaje kujifunza kwa Youtube !?
 
Mkuu mie nipo Dar! kama una nia kweli, jipange ununue Gitaa then jifunze kupitia Youtube. Kuhusu ule mzigo, nilikosa mtu so nikaamua bora nikajinunulie Gitaa tu.

GITAA LINAUZWA BEI GANI , KAMA VIPI NI PM ,
 
Dah nataman sana nijifunze gita pamoja na kinanda bt ndo hvo tatzo nipo mbali sana na upeo wa macho yako, safar yangu ni kutaka kuja kuwa music producer. Mungu nisaidie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…