Mimi ni mkatoliki
Nimetazama kazi anazofanya Mwamposa nimeona Ni kazi kubwa Sana zaidi ya zile walizofanya Petro na Paulo!
Hata Yesu mwenyewe almost afunikwe, but anabebwa na muujiza wa kufufua, kutembea kwenye maji na ufufuko!
Huyu mtu anastahili kukimbiliwa na wanadamu wote hapa ulimwenguni!
Lakini Jambo moja bado linanirudisha nyuma katika kuchukua hatua kumfuata;
Je, yale tunayoona na kusikia yanatendeka yako Real?
Je, iwapo ni Real, hio tu inatosha kugarantee kuwa Ni kazi za nguvu ya Mungu aliye Hai!
Vipi kuhusu kauli yake Yesu, kuwa wengi watakuja kwa jina lake na watafanya miujiza mingi ya kuwapotosha watu? (Marko 13:22)
Potelea mbali! Ninachohitaji Mimi Ni Jambo moja tu, nijue kuwa Yale matendo Ni Real.
Wafuasi wa Mwamposa muliopo humu munisaidie popote mulipo kunishuhudisha mtu anayetembea ambaye hapo awali alikuwa kiwete.
Popote Tanzania nitakuja nimshuhudie na jamii ya eneo Hilo itoe ushuhuda kwamba kweli huyo Ni kiwete wao na Sasa anatembea!
Nimeona ni rahisi kujiridhisha kwa viwete kwa sababu viwete hujulikana mtaani. Hivyo anapoponywa ni rahisi kudhihirika na jamii inayomzunguka!
Na uzuri, Mwamposa ameponya viwete wengi sana. Si rahisi kukosa ushuhuda huu kwenye mikoa yote Tanzania
Bila hivyo, inatosha kuniaminisha utapeli wa Mwamposa. Itawezekanaje aponye viwete wengi wasijulikana wanakoishi.
Chonde chonde ndugu zangu munisahidie nami nipate neema hizi ambazo mtumishi wa Mungu Mwamposa anazimwaga kwa sadaka za kutuma kwenye tigo pesa tu!
Sadaka zake ni fair ukilinganisha na shida za Kisukari, ukiwete na vifungo vya wachawi zinazotusumbua kila uchao!
Naomba kuwasilisha!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nimetazama kazi anazofanya Mwamposa nimeona Ni kazi kubwa Sana zaidi ya zile walizofanya Petro na Paulo!
Hata Yesu mwenyewe almost afunikwe, but anabebwa na muujiza wa kufufua, kutembea kwenye maji na ufufuko!
Huyu mtu anastahili kukimbiliwa na wanadamu wote hapa ulimwenguni!
Lakini Jambo moja bado linanirudisha nyuma katika kuchukua hatua kumfuata;
Je, yale tunayoona na kusikia yanatendeka yako Real?
Je, iwapo ni Real, hio tu inatosha kugarantee kuwa Ni kazi za nguvu ya Mungu aliye Hai!
Vipi kuhusu kauli yake Yesu, kuwa wengi watakuja kwa jina lake na watafanya miujiza mingi ya kuwapotosha watu? (Marko 13:22)
Potelea mbali! Ninachohitaji Mimi Ni Jambo moja tu, nijue kuwa Yale matendo Ni Real.
Wafuasi wa Mwamposa muliopo humu munisaidie popote mulipo kunishuhudisha mtu anayetembea ambaye hapo awali alikuwa kiwete.
Popote Tanzania nitakuja nimshuhudie na jamii ya eneo Hilo itoe ushuhuda kwamba kweli huyo Ni kiwete wao na Sasa anatembea!
Nimeona ni rahisi kujiridhisha kwa viwete kwa sababu viwete hujulikana mtaani. Hivyo anapoponywa ni rahisi kudhihirika na jamii inayomzunguka!
Na uzuri, Mwamposa ameponya viwete wengi sana. Si rahisi kukosa ushuhuda huu kwenye mikoa yote Tanzania
Bila hivyo, inatosha kuniaminisha utapeli wa Mwamposa. Itawezekanaje aponye viwete wengi wasijulikana wanakoishi.
Chonde chonde ndugu zangu munisahidie nami nipate neema hizi ambazo mtumishi wa Mungu Mwamposa anazimwaga kwa sadaka za kutuma kwenye tigo pesa tu!
Sadaka zake ni fair ukilinganisha na shida za Kisukari, ukiwete na vifungo vya wachawi zinazotusumbua kila uchao!
Naomba kuwasilisha!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app