Wanajamvi, naomba msaada wa taharifa juu ya Nani namwandikia,,post ninayoomba na taharifa nyingine muhimu..
Mim ni form 4 leaver..
Pls help..
Jamani msaidieni kama mnafahamu atajifunza taratibu,let's be fair sometimes.
maliza shule kwanza dogo ndo uanze mchakato wa ajira,mshika mawili moja humponyoka,au unaweza kukosa yoooote.
so form four leaver ndio hata lugha yako huijui.co taharifa ni taarifa.jiandae kufeli kwa mwenendo huo.
kwanini mkuu mbona unamkatisha tamaa?Tembeleo ofisi ya Uhamiaji iliyo karibu na ulipo, mwisho wa kutuma maombi ni 06/05/2012;Kama huna wakukushika mkono sahau :
kwata ni kama kawaida tena sasa hivi mwaka mmoja
mwandikie KAMISHNA MKUU WA UHAMIAJI P O BOX 512 DSM POST NI CONSTABLE KWA FORM FOUR NA KOPLO KWA FORM SIX
Thankskwata ni kama kawaida tena sasa hivi mwaka mmoja
mwandikie KAMISHNA MKUU WA UHAMIAJI P O BOX 512 DSM POST NI CONSTABLE KWA FORM FOUR NA KOPLO KWA FORM SIX