Nafasi za Madaktari wa Binadamu kwa jeshi la wananchi wa tanzania (JWTZ)

Diploma kwenye afya ni watu wa kufunga vidonda na kuosha vidoda na usaa. Ulimwenguni kote hiyo taaluma haipo iko Tanzania tu.

Na kwa kukusaidia hii ilianzisha na Mwl ili kukabiliana na upungufu wa madaktari au wahudumu wa afya ndio ikawejwa hyo ya diploma ila kiuhalisia tunatakiwa kua na daktari kuanzia kwenye zahanati.

Hospitali kubwa za mikoa na rufaa wawepo specialists tu. Wamama wengi wanakufa kwa kujifungua huko kwenye zahanati kwa sbabu ya uwepo wa hao wenye diploma, mtu anajifungua placenta inapasuka huyo clinical officer anashindwa kuirejesha mtu anafariki.

Jeshini wako sahihi kabisa. Hii ngazi ya diploma na cheti kwenye afya ingeondolewa kabisa.
Unajua maana ya placenta?? Kazi yake je?? Placenta irudishwe wapi baada ya kujifungua?? Ila all in all unamaono mazuri lkn angalia hali ya maendeleo tuliofikia km nchi ndo uanze kusema inshu zako za kusadikika ktk nchi ya giza.
 
nchi za wenzetu unaenda jashini hata kama una miaka 48 na minimum requiremernt ni secodary education, wengine hawahitaji hata hiyo secondary education
 
Diploma kwenye afya ni watu wa kufunga vidonda na kuosha vidoda na usaa. Ulimwenguni kote hiyo taaluma haipo iko Tanzania tu.

Na kwa kukusaidia hii ilianzisha na Mwl ili kukabiliana na upungufu wa madaktari au wahudumu wa afya ndio ikawejwa hyo ya diploma ila kiuhalisia tunatakiwa kua na daktari kuanzia kwenye zahanati.

Hospitali kubwa za mikoa na rufaa wawepo specialists tu. wengi wanakufa kwa kujifungua huko kwenye zahanati kwa sbabu ya uwepo wa hao wenye diploma, mtu anajifungua placenta inapasuka huyo clinical officer anashindwa kuirejesha mtu anafariki.

Jeshini wako sahihi kabisa. Hii ngazi ya diploma na cheti kwenye afya ingeondolewa kabisa.
Wewe itakua umepungukiwa na akili
 
Diploma kwenye afya ni watu wa kufunga vidonda na kuosha vidoda na usaa. Ulimwenguni kote hiyo taaluma haipo iko Tanzania tu.

Na kwa kukusaidia hii ilianzisha na Mwl ili kukabiliana na upungufu wa madaktari au wahudumu wa afya ndio ikawejwa hyo ya diploma ila kiuhalisia tunatakiwa kua na daktari kuanzia kwenye zahanati.

Hospitali kubwa za mikoa na rufaa wawepo specialists tu. Wamama wengi wanakufa kwa kujifungua huko kwenye zahanati kwa sbabu ya uwepo wa hao wenye diploma, mtu anajifungua placenta inapasuka huyo clinical officer anashindwa kuirejesha mtu anafariki.

Jeshini wako sahihi kabisa. Hii ngazi ya diploma na cheti kwenye afya ingeondolewa kabisa.
Acha uongo
 
Diploma kwenye afya ni watu wa kufunga vidonda na kuosha vidoda na usaa. Ulimwenguni kote hiyo taaluma haipo iko Tanzania tu.

Na kwa kukusaidia hii ilianzisha na Mwl ili kukabiliana na upungufu wa madaktari au wahudumu wa afya ndio ikawejwa hyo ya diploma ila kiuhalisia tunatakiwa kua na daktari kuanzia kwenye zahanati.

Hospitali kubwa za mikoa na rufaa wawepo specialists tu. Wamama wengi wanakufa kwa kujifungua huko kwenye zahanati kwa sbabu ya uwepo wa hao wenye diploma, mtu anajifungua placenta inapasuka huyo clinical officer anashindwa kuirejesha mtu anafariki.

Jeshini wako sahihi kabisa. Hii ngazi ya diploma na cheti kwenye afya ingeondolewa kabisa.

Ndo shida yakusoma hkl alaf unakuja andika uzwazwa apa placenta uirudishe wapi ww Mama ao unaowasema wanalearn experienc kutoka kwa ao wa diplom wanafika vituon wanashangaa shangaa tuu
 
Back
Top Bottom