Nafasi za Madaktari wa Binadamu kwa jeshi la wananchi wa tanzania (JWTZ)

Makamanda, Serikali ikiajiri madaktari,nawaombeni nafasi ya daktari atakayekuwa amekimbia depo la jeshi (au jeshi kwa ujumla) ili nikafanye mazoezi matukufu ya kijeshi ili niwe mwanajeshi nikailinde na kuitumikia nchi yetu hii kwa kila namna, na wajeshi walioko huko.
 
Makamanda, Serikali ikiajiri madaktari,nawaombeni nafasi ya daktari atakayekuwa amekimbia depo la jeshi (au jeshi kwa ujumla) ili nikafanye mazoezi matukufu ya kijeshi ili niwe mwanajeshi nikailinde na kuitumikia nchi yetu hii kwa kila namna, na wajeshi walioko huko.
Siyo nafasi ipotee bure wakati ninaililia kila Sikh siipati !
Ikitokea NAIWAOMBENI NIKAFANYE MAZOEZI YA KIJESHI NIWE MJESHI.
 
Makamanda, Serikali ikiajiri madaktari,nawaombeni nafasi ya daktari atakayekuwa amekimbia depo la jeshi (au jeshi kwa ujumla) ili nikafanye mazoezi matukufu ya kijeshi ili niwe mwanajeshi nikailinde na kuitumikia nchi yetu hii kwa kila namna, na wajeshi walioko huko.
Dogo huku hawahitajiki vilaza!
 
Nadhani kuna madaktari waliokuwa wamejiandikisha jeshini wametoroka tifu la TPDF, hususa ni baada ya serikali kuwatangazia nafasi za udaktari uraiani. MAKAMANDA NAWAOMBA NAFASI MOJAWAPO KATI YA HIZO NIKAFANYE MAZOEZI YA KIJESHI NIKATUMIKIE NCHI YANGU TPDF.MSIJE KUPOTEZA NAFASI BURE YA MTU ALIYETOROKA ILIHALI HICHO CHOMBO KINALILIWA SANA.
 
Diploma kwenye afya ni watu wa kufunga vidonda na kuosha vidoda na usaa. Ulimwenguni kote hiyo taaluma haipo iko Tanzania tu.

Na kwa kukusaidia hii ilianzisha na Mwl ili kukabiliana na upungufu wa madaktari au wahudumu wa afya ndio ikawejwa hyo ya diploma ila kiuhalisia tunatakiwa kua na daktari kuanzia kwenye zahanati.

Hospitali kubwa za mikoa na rufaa wawepo specialists tu. Wamama wengi wanakufa kwa kujifungua huko kwenye zahanati kwa sbabu ya uwepo wa hao wenye diploma, mtu anajifungua placenta inapasuka huyo clinical officer anashindwa kuirejesha mtu anafariki.

Jeshini wako sahihi kabisa. Hii ngazi ya diploma na cheti kwenye afya ingeondolewa kabisa.
We jamaa nikuambie tuu umeongea utumbo sana, diploma ya udaktari ni kuosha vidonda?
Kwa hiyo miaka mi 3 mtu anafundishwa kuosha vidonda tuu ?, Na watu wanaopata supplementary na repeat modeules ni kwa kua wanashindwa kuosha vidonda si ndio ee ?, Ujinga wa kuropoka kitu usichokua na taaluma nacho ni upumbavu ulio pitiliza
Na kwa taarifa yako Diploma in clinical medicine haipo Tanzania pekee, na kama unahisi watu wanaosha vidonda miaka mi 3 mpeleke mwanao nae akaoshe vidonda kama ni raha.
Haijalishi wewe ni specialist kama utashindwa kuheshimu hata alie chini yako basi huopaswi kua kiongozi na hufai kua kioo cha jamii, heshma na upoe ni mambo ya msingi ukivikosa unakosa busara na ndo utakapoishia kutukana walo chini yako.
Very imbecile.
 
Diploma kwenye afya ni watu wa kufunga vidonda na kuosha vidoda na usaa. Ulimwenguni kote hiyo taaluma haipo iko Tanzania tu.

Na kwa kukusaidia hii ilianzisha na Mwl ili kukabiliana na upungufu wa madaktari au wahudumu wa afya ndio ikawejwa hyo ya diploma ila kiuhalisia tunatakiwa kua na daktari kuanzia kwenye zahanati.

Hospitali kubwa za mikoa na rufaa wawepo specialists tu. Wamama wengi wanakufa kwa kujifungua huko kwenye zahanati kwa sbabu ya uwepo wa hao wenye diploma, mtu anajifungua placenta inapasuka huyo clinical officer anashindwa kuirejesha mtu anafariki.

Jeshini wako sahihi kabisa. Hii ngazi ya diploma na cheti kwenye afya ingeondolewa kabisa.
Placenta ikipasuka matibabu yake ndio kuirudisha ndani? Utakuwa mganga wa kienywji wewe.
 
Back
Top Bottom