mtzmweusi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 8,700
- 9,070
Habarini za asubuhi, kwa wale ambao wana uhitaji wa kazi au internship waliopo dar es salaam waliosomea economocs, finance, accountancy, engineering, law na statistics, waliopata GPA kwanzia 3.5 kupanda juu kesho asubuhi wafike ofisi za TAESA( Tanzania Employment Services Agency)iliyopo chini ya wizara ya kazi ajira jinsia watoto na walemavu, waende na vyeti vyao original na copy ya vyeti vyao ambavyo ni cheti cha chuo, transcript, cheti cha form six, cheti cha form four na kama una vyeti vingine vyovyote vya taaluma pamoja na driving licence kwa aliyenayo. Pia watafanyiwa registrationni na interview. Kwa atakayepita interview internship au kazi ni uhakika kupata. Unaweza ukashare na magroup mengine.Asanteni