Ngunya1
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 406
- 642
Kuna mdogo wangu anataka kwenda kuweka kambi Zanzibar ya mwezi mmoja atafute kazi kwenye mahotel au makampuni binafsi.
Msaada;
1.Vipi gharama za guest ukiwa huko maana hana mwenyeji
2.Upatikanaji wa kazi upoje na masilahi au ni kama bara
Karibuni kwa msaada wa mawazo
Msaada;
1.Vipi gharama za guest ukiwa huko maana hana mwenyeji
2.Upatikanaji wa kazi upoje na masilahi au ni kama bara
Karibuni kwa msaada wa mawazo