Leo ndio deadline, punguza presha mkuu! Walau wiki 1-2 ipite.Kuna aliyepata humu?
.....shemeji akitaka sub kwa sista'ako ujue atakutafuna wewe!Kaz ya elfu 10 kwa siku kaz gan ...nendeni mkajiongezee stress
NYINYI SUBIRINI DADA ZENU NA KAKA ZENU WALIOMALIZA MWAKA 2010 WAPATE NDO NYINYI MPATEKwahiyo ambao tupo under 25 ndo bas tena??? Khaaa jamani not fair...
Khaaa nshasahau hata ka nili commentigi huku hahaha duuu..NYINYI SUBIRINI DADA ZENU NA KAKA ZENU WALIOMALIZA MWAKA 2010 WAPATE NDO NYINYI MPATE
ndio ujifunze kutunza kumbukumbu ili siku ukileta uzi ujue taarifa zako tunazoKhaaa nshasahau hata ka nili commentigi huku hahaha duuu..
Haha....si lazima kusaab sidanganyagi...ndio ujifunze kutunza kumbukumbu ili siku ukileta uzi ujue taarifa zako tunazo
unataka kusema hata hilo jina hujadanganya??Haha....si lazima kusaab sidanganyagi...
Ndio...a.k.a tu...and it's true am scorpio...unataka kusema hata hilo jina hujadanganya??
Scorpio wa baguruni?Ndio...a.k.a tu...and it's true am scorpio...