COMPLICATOR2011
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 253
- 35
Kuna thread ilikuwemo humu ya nafasi za kazi VETA, hlf baadae nikasikia kuna nafasi tena za kufundisha zilitangazwa VETA Mtwara na Lindi hizi sikuziona, naomba kama kuna mwenye details atuletee ili tuaply na kama zile za mwanzo walishaita watu kwenye interview. Hawa jamaa nasikia wanalipa vizuri ila ni ngumu kupata kazi zao.