Wadau kuna aliyefuatilia kujua shortlisted candidates wa Tanzania Insurance Regulatory Authority??
Walishafanya usaili niliitwa interview ya awali postion ya Computer Systems Analyst nawasikilizia necxt interview, ila jamaa wanalipa vizuri kinoma
Hiyo post tumeshaajiri,wanaanza kazi tarehe 1/7/2011Nilifanya application ya Insurance Supervisory Analyst.
Kwa wizara ya fedha kuna mwenye habari kama interview zimefanyika
, mkuu self kivipi cjakuelewa hapo, wizara ya Fedha ilitoa nafac nyingi mwezi wa 5, na kwa hesabu za haraka ha2jajua kama wameita ila kama ndiyo hao haina shida 2taomba kwinginevia MobileKama ni wale jamaa wa SELF wizara ya fedha walishaa ita tarehe mbili mwezi huu na interview week hii watu wanenda!