euca
JF-Expert Member
- Apr 6, 2015
- 3,917
- 4,334
Binafs nimeshawahi kwenda pale kiwandani kwao mara kadhaa kutafuta kazi za usafi na kubeba mabox but blahblah nyingi sana kutoka kwa wale walinzi utazani wao wanaajiri,mwisho wa siku wanakuambia nenda hapo bora shoes vibarua kama vyote utadhani mim sijapaona hapo boraKwann unasema ivyo?