Nafasi za kazi Shontle Supermarket

Nafasi za kazi Shontle Supermarket

vicky fredy

Member
Joined
Sep 28, 2013
Posts
34
Reaction score
1
Jamani yoyote anayejua au aliyesikia kuhusu hii supermarket nimeona tangazo njiani na unatakiwa uende na elfu mbili
ya kujaza form ya ajira.

Wadau kuna ukweli ndani yake au ndo watu wapo kazini yoyote anayeijua au kuisikia hii supermarket anijuze tafadhali.
 
Ungelisoma vizuri ilo tangazo nafikili ungejua nini cha kufanya inaonekana umelisoma haraka haraka ukulielewa kwa hiyo unataka ulielewe vizuri kupitia humu jf.
 
ambako hatalielewa hata maana hayo matangazo ni ya kwenye nguzo za umeme ambapo naamin mmoja kati ya kumi humu wapita nguzo za umeme kusoma ajira, wapelekee tu hy 20 wakaadithie mbele wamemla mtu
 
ndugu angalia utaliwa pesa yako bure na wala usipate kazi
 
I mean elfu 2 nachouliza wadau yoyote anayeijua hii supermarket yaani ipo kweli hapa dar
 
hahahahahahhahahha ....kawape tu hy 20 sijui buku 2, hihihihi wakaadithie mbele, ili uwe mjanja lazima ujanjarushwee, we usisome tangazo, tena jamaa nawaaminia kwa kuweka mambo bayana utakuta hadi mshahara umewekewa ila hukawii kuuliza tena huku jf, hihihihi nacheka ila najua sio mazuri!! I am kindiliii kindili kikwete
 
hahahahahahhahahha ....kawape tu hy 20 sijui buku 2, hihihihi wakaadithie mbele, ili uwe mjanja lazima ujanjarushwee, we usisome tangazo, tena jamaa nawaaminia kwa kuweka mambo bayana utakuta hadi mshahara umewekewa ila hukawii kuuliza tena huku jf, hihihihi nacheka ila najua sio mazuri!! I am kindiliii kindili kikwete
Hujielewi soma kitu vizuri ndipo ujibu sio unakurupuka tu sio lazima ujibu kila topic humu jf
 
A to Z supermarket pia wametangaza nafasi, for more info nenda ofisi zao Maeneo ya Ocean Road
 
Back
Top Bottom