Nililiona zoom then nikafika hadi ofsini kwao kabisa kuthibitisha maana mimi sio muumini sana wa zoom.Tangazo ulilitoa zoom au wapi?
Wametangaza deadline lini? Mi nliomba Operations na deadline ilikua tar 10 February 2017Mbona wametangaza kazi tena..za mambo ya hr na nyingine, wewe uliomba post ipi?
Basi subiria itakuwa bado hawajaanza mchakato wa usailiNililiona zoom then nikafika hadi ofsini kwao kabisa kuthibitisha maana mimi sio muumini sana wa zoom.