duet
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 534
- 149
Huna hoja
??? Seriously???
Huna hoja
HIVI JAMANI WADAU HIZI AJIRA ZA NSSF VIPI? MBONA KIMYA SANA TOKA DEADLINE TAREHE 25/07/2014 AU NDO TAYARI WATU WAMESHAITW KAZINI? MICHAKATO YAO SIIELEWI KABISA LABDA KAMA KUNA MWENYE TAARIFA.
NAOMBENI INFO
:angry:
Hivi lakini kuna possibility ya kuingia bila refa ? Watoto wa wakulima hapo inakuaje? Tuombe mungu. Lakini nasikia kuna watu walishaitwa kimyakimya tarehe 15/08/2014
hawa walishashindikana,Mambo ya vimemo tutawaumbua kama uhamiaji
Genive hivi eti why mtu akipoteza cheti hawampi kingne/?uwa sielewi
Kwani kupoteza cheti ni hatia?help plz
You are invited for an Interview for the Position of Operation Officer u applied to be held on 13th Dec 14 at IFM.For details Read your email
HR Department NSSF
HIYO NDIO MSG NILOTUMIWA 05/12/2014, Means wameshaanza kuita watu
Wameniandikia hiyo msg, then wakanipigia tena cmu wakanigea namba! Aliyepiga simu anaongea kiswahiliAhahhaahhah wengije wameandikiwa kiswahili
Wameniandikia hiyo msg, then wakanipigia tena cmu wakanigea namba! Aliyepiga simu anaongea kiswahili