Ambassador_
Member
- Nov 27, 2020
- 26
- 49
Huwa wanatuma email (mara nyingi kwa waliokosa) ila kama umefaulu kulingana na wastani watakaouweka basi utapigiwa simu kwa ajili ya oral...Et baada ya huo mtian nn kinafata na utajuaje umefaulu?
Huwa wanatuma email (mara nyingi kwa waliokosa) ila kama umefaulu kulingana na wastani watakaouweka basi utapigiwa simu kwa ajili ya oral...Et baada ya huo mtian nn kinafata na utajuaje umefaulu?
Dakika 20 huwezi kakaHa ha ha,mlishindwa kugoogle?
Umescore ngapi baby Irene?Asantekwa jibu
Ulisubmit kabla ya muda?Nimeleft bila kuchek result.
Lakn siumenielewa shida ni kyboard .thank you bt
Umetoboa ngapi?Mimi nilifanya
So hat hujanaliza?Nimeleft bila kuchek result.
Bima ya Afya ipo na mfuko wa hifadhi pia upo,na Commission kwa kila akaunti unayofungua ipo,kuliko kusugua mtaani kama mtu hana kazi inayoweza kumuingizia zaidi ya kipato hicho ni bora akapige mzigo...hizi ajira mshahara ni 30
0000 na u mfuko wa hifadh, no bima ya afya. pia target kwa kila siku ni kufungua account kumi kwa siku, mwendo wa kutembea mtaan na pos yako kutafuta wateja. mkataba ni mwaka mmoja. jua lako, mvua yako. kama siku ujafungua full stress. zikitoka nafas z ajira, watoto wa meneja ndio wanakula shav. wew endelea kupigwa jua. maon yangu 2.
Kwan wameshaanza kuitwa?Waliotwa kuendelea na interview tujuzeni basi
wakuu poleni na harakati. juzi hvi NMB walitanga nafasi ya Contact Centre Agents nikapiga nao aptitude test nika score above 50. till now kimya pasipo feedback yoyote karibia mwezi sasa ,hvi utaratobu wao ukojee? maana kitaa kinawka moto balaa