Sales Representatives (Afisa Mauzo)
Platinum Credit Ltd ni kampuni inayotoa huduma ya mikopo ya dharura kwa watumishi wa serikali ya Tanzania na wafanya biashara raia wa kitanzania wa rika la kawaida na rika la kati. Kampuni imejizatiti kuhakikisha huduma zake kwa wateja zinapatikana ndani ya muda wa saa 24.
Katika kuimarisha juhudi zake za kutoa huduma inayoridhisha kwa wateja wake, Kampuni inatangaza fursa ya ajira kwa vijana watanzania kama ifuatavyo:
b) Kushiriki katika shughuli za masoko na kutangaza bidhaa za kampuni
c) Kujibu maswali ya wateja
d) Kusaidia wateja kujaza fomu pamoja na nyaraka zinazohitajika
e) Kutoa ushauri juu ya mkopo wa kujaza na jinsi ya kusitisha mkopo kwa wateja waliopo
f) Kuwasiliana na meneja wako wa tawi kuhusu changamoto unazozipata sokoni
g) Kufuatilia wateja waliohama /wasiolipa
h) Kushirikiana na viongozi wa tawi kuidhinisha na kuingiza makato kwa mwajiri kwa kila mkopo
iv. Sifa za muombaji
a) Awe na elimu isiyo chini ya kidato cha Nne.
b) Awe mwenye kujituma kutafuta masoko na kuhudumia wateja
c) Awe na utayari na uwezo wa kujifunza kazi kwa haraka.
d) Awe na uwezo wa kuongea vizuri Kiswahili
e) Awe na lugha nzuri ya kuongea na wateja na kushirikiana na wafanyakazi wenzake.
f) Awe mwaminifu kwa wateja na kujitambua katika kazi na maisha binafsi.
g) Awe na umri usiopungua miaka 20.
v. Jinsi ya kutuma maombi
Muombaji anaweza kutuma maombi yake kwa njia mojawapo ya hizi zifuatazo:
a)*Maombi yaambatane na:
ü Nakala ya wasifu wa muombaji,
ü Nakala ya veti vya muombaji,
ü Picha ndogo(passport size) mbili za karibuni.
Imetolewa
Utawala,
Platinum Credit Ltd,
Makao Makuu-Dar es Salaam.
Platinum Credit Ltd ni kampuni inayotoa huduma ya mikopo ya dharura kwa watumishi wa serikali ya Tanzania na wafanya biashara raia wa kitanzania wa rika la kawaida na rika la kati. Kampuni imejizatiti kuhakikisha huduma zake kwa wateja zinapatikana ndani ya muda wa saa 24.
Katika kuimarisha juhudi zake za kutoa huduma inayoridhisha kwa wateja wake, Kampuni inatangaza fursa ya ajira kwa vijana watanzania kama ifuatavyo:
- Nafasi : Afisa Mauzo ( Nafasi 30)
- Eneo la kazi: DAR ES SALAAM
- Majukumu
b) Kushiriki katika shughuli za masoko na kutangaza bidhaa za kampuni
c) Kujibu maswali ya wateja
d) Kusaidia wateja kujaza fomu pamoja na nyaraka zinazohitajika
e) Kutoa ushauri juu ya mkopo wa kujaza na jinsi ya kusitisha mkopo kwa wateja waliopo
f) Kuwasiliana na meneja wako wa tawi kuhusu changamoto unazozipata sokoni
g) Kufuatilia wateja waliohama /wasiolipa
h) Kushirikiana na viongozi wa tawi kuidhinisha na kuingiza makato kwa mwajiri kwa kila mkopo
iv. Sifa za muombaji
a) Awe na elimu isiyo chini ya kidato cha Nne.
b) Awe mwenye kujituma kutafuta masoko na kuhudumia wateja
c) Awe na utayari na uwezo wa kujifunza kazi kwa haraka.
d) Awe na uwezo wa kuongea vizuri Kiswahili
e) Awe na lugha nzuri ya kuongea na wateja na kushirikiana na wafanyakazi wenzake.
f) Awe mwaminifu kwa wateja na kujitambua katika kazi na maisha binafsi.
g) Awe na umri usiopungua miaka 20.
v. Jinsi ya kutuma maombi
Muombaji anaweza kutuma maombi yake kwa njia mojawapo ya hizi zifuatazo:
a)*Maombi yaambatane na:
ü Nakala ya wasifu wa muombaji,
ü Nakala ya veti vya muombaji,
ü Picha ndogo(passport size) mbili za karibuni.
Imetolewa
Utawala,
Platinum Credit Ltd,
Makao Makuu-Dar es Salaam.