Ngushi
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 9,066
- 18,349
Ha haaaaa haaaaaa Aiseee!Itakuwa kupika futari
Ha haaaaa haaaaaa Aiseee!Itakuwa kupika futari
Unaposaidia usisubiri shukrani. Fanya kama ni jukumu lako na siku ya hesabu ndo utaona umuhimu wa ulichokifanya.Mkuu ni sawa kabisaa mimi binafsi nimesaidiwa na nimesaidia sana ingawa baadhi ya wengine shukran huwa si jadi yao lakini hiyo isituzuie kutoa msaada.
Caritas au Compassion kupata kazi wakati sio wa imani yao ni ngumu sana. Na siwalaumu kwa hilo.Sio kweli. Usipotishe. Nimewahi Fanya kazi karitasi kwakuajiriwa na kupata stahiki zote na sio mkristo
ebu nisaidie mimi uone ntakavyokurudishia shukranMkuu ni sawa kabisaa mimi binafsi nimesaidiwa na nimesaidia sana ingawa baadhi ya wengine shukran huwa si jadi yao lakini hiyo isituzuie kutoa msaada.
Sina fursa kwa sasa siwezi kukuhadaa...lakini shukrani siyo lazima sana hata usipopewa hawezi kukufanya usiwe supportive kwa watu. Ila utapata tuu kile unachohitaji wapo wengi humu wanaweza kukupa huo msaada don't worryebu nisaidie mimi uone ntakavyokurudishia shukran
Ni sawa mkuu lakini binafsi huwa na feel indebted. Mtu akinisaidia lazima nimshukuru. Namshukuru Mungu nisiye muona kwa macho kila siku nishindwe kumshukuru binadamu ninaye muona kwa macho mwenye ndugu na jamaa wengi ambao amewaacha akaamua kunisaidia mimi .Hapana, I was not raised like that na my conscience haiwezi niruhusu.Unaposaidia usisubiri shukrani. Fanya kama ni jukumu lako na siku ya hesabu ndo utaona umuhimu wa ulichokifanya.
shukran mkuu kwa kua muwazi ikitokea usisite kunijulisha....pale uliposaidia watu Mungu atakubariki kwa namna usiyoijuaSina fursa kwa sasa siwezi kukuhadaa...lakini shukrani siyo lazima sana hata usipopewa hawezi kukufanya usiwe supportive kwa watu. Ila utapata tuu kile unachohitaji wapo wengi humu wanaweza kukupa huo msaada don't worry
Jaman kama mimi ni mkirsto nkavaa nguo za kujistiri siruhusiwi
Acha kudanganya umma, kuna wafanyakazi wengi tu wa Caritas wasio wakristo wala waktoliki. Wenzenu wanajali ufanisi kazini na si huyu mwenzetu na yule si mwenzetu.Hiyo Ni policy ya Caritas Duniani!
Wewe una sifa gani so special ambayo iwafanye caritas wakiuke policy Yao tangu waje 1970s Kwa ajili yako Wewe Mmoja
Hutoweza kwasababu kazi hii inafanyika kwa lugha ya qur'anJaman kama mimi ni mkirsto nkavaa nguo za kujistiri siruhusiwi
umeacha kigezo kimoja, awe bikra! si mnataka wasafi? hao watakaokuja muwapime ndio mtajua bora mngechanganya na watu wa dini zingine kwasababu hamna kitu.Asalaam aleykum, wanahitajika wasichana 10 kwa ajili ya kazi ya data entry(kuingiza kumbukumbu)
Sifa za waombaji
1. Wawe waislam(shirika la dini)
2.umri kuanzia miaka 20
3.elimu kuanzia form six na kuendelea
4.CV(yenye namba za simu) ambatanisha na picha
Maombi yatumwe kwenye email
Islamicfoundation9@gmail.com kabla ya 20/5/2018
Ukiwa na elimu zaidi ni faida shirika linataraj kutangaza nafasi zingine za kazi
ungeenda msikiti wa kwenu ungetangaza dk 0 tu.Asalaam aleykum, wanahitajika wasichana 10 kwa ajili ya kazi ya data entry(kuingiza kumbukumbu)
Sifa za waombaji
1. Wawe waislam(shirika la dini)
2.umri kuanzia miaka 20
3.elimu kuanzia form six na kuendelea
4.CV(yenye namba za simu) ambatanisha na picha
Maombi yatumwe kwenye email
Islamicfoundation9@gmail.com kabla ya 20/5/2018
Ukiwa na elimu zaidi ni faida shirika linataraj kutangaza nafasi zingine za kazi
Acha kudanganya umma, kuna wafanyakazi wengi tu wa Caritas wasio wakristo wala waktoliki. Wenzenu wanajali ufanisi kazini na si huyu mwenzetu na yule si mwenzetu.
Kwani na wewe ni KE?Asalam alaykum nauliza kama sina email natumaje maombi ya kazi
WakikeKwani na wewe ni KE?
Ok,changamkia fursa hiyo.Wakike