kitutunyantuntumbe
Member
- Aug 2, 2012
- 10
- 8
Asalaam aleykum, wanahitajika wasichana 10 kwa ajili ya kazi ya data entry(kuingiza kumbukumbu)
Sifa za waombaji
1. Wawe waislam(shirika la dini)
2.umri kuanzia miaka 20
3.elimu kuanzia form six na kuendelea
4.CV(yenye namba za simu) ambatanisha na picha
Maombi yatumwe kwenye email
Islamicfoundation9@gmail.com kabla ya 20/5/2018
Ukiwa na elimu zaidi ni faida shirika linataraj kutangaza nafasi zingine za kazi
Sifa za waombaji
1. Wawe waislam(shirika la dini)
2.umri kuanzia miaka 20
3.elimu kuanzia form six na kuendelea
4.CV(yenye namba za simu) ambatanisha na picha
Maombi yatumwe kwenye email
Islamicfoundation9@gmail.com kabla ya 20/5/2018
Ukiwa na elimu zaidi ni faida shirika linataraj kutangaza nafasi zingine za kazi